Sub Categories

Nampenda bwana yesu Sikh zote za maisha yangu kwani yeye ndiye mwenye kunipendeza na hakuna mwingine zaidi yake katika maisha yangu. Ahsante yesu kwa kunijalia afya njema ,kunikinga na na maradhi kuniepusha dhoruba za dunia hii na uzidi kuendelea kuniepusha tena na tena mpaka hapo utakapo niita baba yetu .ahsante baba kwa ridhiki unayonijalia kila siku, bariki mazao yangu ya shamba pia bariki biashara yangu iwe na Wateja wengi na I we endelevu,naomba ktk jina la yesu amina



Mungu wetu ni wa heri kwa wote asuh naiona nyepesi japo mfukoni nina shiling hamsin chanji iliyo baki ya vitumbua jana. Naish vp chana akil inaitijika

Ente itamba, yebare yesu kucwa ekidi,
I luv Uganda. God z good


Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!

Msichana mmoja alimpeleka mchumba wake kwao kumtambulisha kwa wazazi wake.

Alipofika tu baba yake akagundua dosari maana mvulana alikuwa mweusi tii ana matege makali na makengeza ya maana!!

Jamaa alipo ona sura ya baba mkwe wake imebadilika ikabidi atabasamu kiasi.
Lahaula! Alikuwa na mapengo hana meno yote ya mbele!

Baba akaamua amuite binti yake:

Baba:”Mwanangu hebu twende nje tuongee.”

Binti:”Baba sema hapahapa tu mchumba wangu ni kiziwi.”
.
.
Baba mtu akazimia!!


Ma sister, imagine walking in heaven and all the kids you aborted be like:
“Jesu nangu lo”


Demu:babe leo bata wap??
Boy:kwani wewe unataka tukale wap???
Demu:nataka tukale kwa hotel kubwa
Boy:acha ufala leo bata kwani uja waona kwenye banda lao wanakula 😂😂😂😂😂

Msukuma wa ukwel asema: The collection of grasshoppers is in the morning / Isunga ng’humbi lilidilu/ ukusanyaji wa panzi ni asubuhi, maana yake aanza kusaka maisha mapema, usingoje baadaye.


Mkinisema kila Mara mie ndio uzima wangu bure zenu biashara za majungu dhidi yangu, cemeni cina hasara atanilipia mungu


Maisha ni mlima kupanda na kushuka


Maisha ni safari ndefu mnoo
Ainaga kipimo ata siku moja
Tunachopaswa kufanya ni
Kutokukata tamaa ktk kila jambo.

Karibuni nyumbani yasubuhi yote milele.Sasa nasoma the only disability in life is a bad attitude,Meskiya? Also true happiness lies,first of all in health.Sursunday

Ukitaka ukwel ulizia kiundan zaidi love is poison true
or false