Kama ukijua kua MTU ni watu maana MTU peke hawezi akaishi kamwe
Usitake Leo iwe historia Ila acha historia Itakapofikia kuwa historia
Karibuni nyumbani yasubuhi yote milele.Sasa nasoma the only disability in life is a bad attitude,Meskiya? Also true happiness lies,first of Continue Reading..
maisha ni safari ndefu yana panda na kushuka binaadamu tuwe makini
Hahaha wamathe wa kisumu hucompit kuongea English but hawatakagi kwambiwa hawajui
Ukitaka ukwel ulizia kiundan zaidi love is poison true or false
Maisha ni mlima kupanda na kushuka
tafadhali shiriki utani wako na sisi katika lugha ya swahili
2 thoughts on “hivyo”
Sikupeda kwangu kukosa kuongea na nyinyi 2017 no kukamatwaa na uchumi
Sikupeda kwangu kukosa kuongea na nyinyi 2017 no kukamatwaa na uchumi
Sijanyamaza kwa ubaya no uchumi 2017