Nilidhani usafi ni taulo kumbe sivyo hivyo
naangalia maisha yangu siangalii mtu but nawapenda wote
Maisha ni mlima kupanda na kushuka
At I. Nyanyayako amezeeka had I akipiga miayo inalia kama mlango.
Furaha usoni, maumivu noyoni.
tafadhali shiriki utani wako na sisi katika lugha ya swahili
Furaha yngu nimuonapo ana smile
Mwanamke mpumbavu,hubomoa Nyumba yake mweye,mwerevu hujenga
Maisha ni safari ndefu mnoo Ainaga kipimo ata siku moja Tunachopaswa kufanya ni Kutokukata tamaa ktk kila jambo.
Sikupeda kwangu kukosa kuongea na nyinyi 2017 no kukamatwaa na uchumi
Sijanyamaza kwa ubaya no uchumi 2017
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *
Sikupeda kwangu kukosa kuongea na nyinyi 2017 no kukamatwaa na uchumi
Sijanyamaza kwa ubaya no uchumi 2017