Sort By: Default (Newest First) |Comments
Swahlili Jokes

imelala

karibu kenya place unabuy maziwa imelala 35 while fresh 20 bob


102
    King John : 😍😍😍

    1 Comment
    Swahlili Jokes

    maotwana

    Pain ya go nyesa ke mjolo kwa yeno o na le gate ya maotwana

    45


    Leave a comment
    Swahlili Jokes

    mtamu tena sa hii…

    Nmeona niende kwa mama mkwe nikaulize juu
    nimeona mtoto wake amekua sio mtamu tena sa hii…

    43


    Leave a comment
    Swahlili Jokes

    wapi kwanini why

    Hii upuzi ya unauliza dame 😂
    hasubui kama ame amka anakuambia oliskia wapi kwanini why🥴


    55


    Leave a comment
    Swahlili Jokes

    sikufugi

    Kama nilikuudhi mwaka huu , kumbuka mwakani ni palepale sikufugi😂😂


    ਰੋਜ਼ਾਨਾ ਨਵੀਆਂ ਕਹਾਣੀਆਂ ਪੜ੍ਹਨ ਲਈ ਇੰਸਟਾਲ ਕਰੋ "ਕਲਮ" ਐੱਪ :

    62


    Leave a comment
    Swahlili Jokes

    kukuangalia wewe

    Mko kwenye sensa mara wakala anauliza mama una g’ombe hapa na mama anaanza kukuangalia wewe

    25


    Leave a comment
    Swahlili Jokes

    pin ya mpesa

    nimekumbuka mitochondrion nikasahau pin ya mpesa😲🤣😋😋😋🤔😁


    32


    Leave a comment
    Swahlili Jokes

    kwenye tope

    Jifunze kuitambua dhahabu hata Kama ipo kwenye tope

    36


    Leave a comment
    Swahlili Jokes

    pilipili kichaaaa?

    Kama Adam na Eva walikula 🍎 apple kishe nimagum hivi je wangukula pilipili kichaaaa?


    ਰੋਜ਼ਾਨਾ ਨਵੀਆਂ ਕਹਾਣੀਆਂ ਪੜ੍ਹਨ ਲਈ ਇੰਸਟਾਲ ਕਰੋ "ਕਲਮ" ਐੱਪ :

    44


    Leave a comment
    Swahlili Jokes

    Na roho yako

    Mapenzi. Xi naguvu ni wamusi wako na mimi pamoja. Na roho yako


    36


    Leave a comment
    Swahlili Jokes

    Speaker tu

    Kumbe Tumbo ndo inanyamba Matako ni Speaker tu 😂😂

    42
      estherwanjuhi : Comment so wewe ni afande kwasababu umenona mapafu.🤣😂

      1 Comment
      Swahlili Jokes

      kabatini.

      Kopo la chooni ni la chooni tu,hata liwe jipya haliekwi kabatini.

      51


      Leave a comment
      Swahlili Jokes

      chakula unaitwa

      Wasee wasee kwenu watu ni wengi hadi ikifika saa ya chakula unaitwa na Register


      29


      Leave a comment
      Swahlili Jokes

      mboga

      Umezoea Kukula mogoka hadi unaogopa kumeza mboga

      31


      Leave a comment
      Swahlili Jokes

      mama yake ayupo,

      Ety demu kwakwmbia uwende kwao kwakuwa mama yake ayupo,
      kumbe nao ni ushezi

      20


      Leave a comment
      Swahlili Jokes

      ugonjwa

      Ukimkuta dada amevaa miwani anakuwa na dharau sana anasahau kuwa kilichomfanya avae iyo miwani ni ugonjwa
      😀😀😀🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️


      39


      Leave a comment