karibu kenya place unabuy maziwa imelala 35 while fresh 20 bob
Category: Swahili
- King John : 😍😍😍
1 Comment
maotwana
Pain ya go nyesa ke mjolo kwa yeno o na le gate ya maotwana
Leave a comment
mtamu tena sa hii…
Nmeona niende kwa mama mkwe nikaulize juu
nimeona mtoto wake amekua sio mtamu tena sa hii…
Leave a comment
wapi kwanini why
Hii upuzi ya unauliza dame 😂
hasubui kama ame amka anakuambia oliskia wapi kwanini why🥴
Leave a comment
sikufugi
Kama nilikuudhi mwaka huu , kumbuka mwakani ni palepale sikufugi😂😂
Leave a comment
kukuangalia wewe
Mko kwenye sensa mara wakala anauliza mama una g’ombe hapa na mama anaanza kukuangalia wewe
Leave a comment
pin ya mpesa
nimekumbuka mitochondrion nikasahau pin ya mpesa😲🤣😋😋😋🤔😁
Leave a comment
kwenye tope
Jifunze kuitambua dhahabu hata Kama ipo kwenye tope
Leave a comment
pilipili kichaaaa?
Kama Adam na Eva walikula 🍎 apple kishe nimagum hivi je wangukula pilipili kichaaaa?
Leave a comment
Na roho yako
Mapenzi. Xi naguvu ni wamusi wako na mimi pamoja. Na roho yako
Leave a comment
Speaker tu
Kumbe Tumbo ndo inanyamba Matako ni Speaker tu 😂😂
- estherwanjuhi : Comment so wewe ni afande kwasababu umenona mapafu.í ¾í´£í ½í¸
1 Comment
kabatini.
Kopo la chooni ni la chooni tu,hata liwe jipya haliekwi kabatini.
Leave a comment
chakula unaitwa
Wasee wasee kwenu watu ni wengi hadi ikifika saa ya chakula unaitwa na Register
Leave a comment
mboga
Umezoea Kukula mogoka hadi unaogopa kumeza mboga
Leave a comment
mama yake ayupo,
Ety demu kwakwmbia uwende kwao kwakuwa mama yake ayupo,
kumbe nao ni ushezi
Leave a comment
ugonjwa
Ukimkuta dada amevaa miwani anakuwa na dharau sana anasahau kuwa kilichomfanya avae iyo miwani ni ugonjwa
😀😀😀🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Leave a comment