penda anae kupenda asiye kupenda achana nae
Loading views...
penda anae kupenda asiye kupenda achana nae
Loading views...
Kumbe Tumbo ndo inanyamba Matako ni Speaker tu 😂😂
Loading views...
Mwanamke mpumbavu,hubomoa Nyumba yake mweye,mwerevu hujenga
Loading views...
Kuna dem ameniuliza WHERE DID WE FIRST MEET??
Sijui nimkumbushe ile day chali yake aliniomba keja juu mm nilikuwa yule msee nilikuwa nafua hapo nje
Loading views...
Sometimes I really wonder,
tulikiwa tunasoma kunyume ya nini ?
Loading views...
Relationship stress ekago dira o nyake seat belt ko toilet seat
Loading views...
Ile time ume nyandua fame na ngori ya kidogii afu utabike after a few minutes unaskiaga fame aki shuta na nyap
😜
Loading views...
Kupenda asiye kupenda ni sawa na kungoja meli Kwa uwanja wa ndege
Loading views...
They say that love is blind bt mbona wasee uwa wanachagua madem wenye wako na sura poa
Loading views...
Tangu nipikie wageni chai kwa sufuria ya omena , madhee hajawai kubali niingie jikoni
Loading views...
Eti ooh nataka mwanaume wa kunilinda na ukitongozwa na mlinzi unakataa!?
Loading views...
Kopo la chooni ni la chooni tu,hata liwe jipya haliekwi kabatini.
Loading views...
Yesu angejua vile wezi wanafanyiwa mtaanj agedhubutu kuja kama mwizi
Loading views...
Unalia nkikataa kupic call yako na umepiga mara moja tu,
ni mara ngapi yesu amekuita na ukakataa.?
Loading views...
Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika
Loading views...
Her:Beb ulisema utanipeleka tour?
Joker smoker: Apana nilisema Twa Twa😂
Loading views...