Sub Categories

akil ni nyele kila mtu ana zake

Loading views...



Mungu wetu ni wa heri kwa wote asuh naiona nyepesi japo mfukoni nina shiling hamsin chanji iliyo baki ya vitumbua jana. Naish vp chana akil inaitijika

Loading views...

Uzuri wa kunyonga monkey unaweza adjust iwe tight ama mtaro!!😏
Vile unataka

Loading views...

Unataka kucheza n ingali umesimama Aaaaah inama inama

Loading views...


Wale mlikuwa mnasema 2020 is your financial year ebu mkujie mwaka yenu na sitafadhali 🤣🤣

Loading views...

Her: Yoyaah Arfoza
Meh: Yoyaah
Her: Manjet
Meh: Man ni mtu na jet ni ndege

One word for Arfoza

Loading views...


Cjai ona ugonjwa mbaya kma ujinga aina tiba Tina ni kibao

Loading views...


Mzee alikuwa anaomba Mungu kwa bedroom
na kiingereza “Thank you for Mercy, Thank you
for Joy, Thank you for Grace, I now have
Faith……”
Wife akaingia bedroom kwa fujo na kukatisha
maombi…… “Heh! Nilijua tu huwezi tosheka
na mimi…. Nini umekosa kwangu ndio uende
kwa Mercy, Joy, Grace na Faith???
Mzee akajaribu kumweleza but wife was so
infuriated hakuwa anataka kumwelewa. Wife
akakimbia kitchen akachukua ile kisu kali
kabisa, akangoja mzee alale aanze
kung’orota. Akawekelea maji kwa gas
ikachemka thero-thero-thero. Akachungulia
akaona mzee ako in deep sleep
Akaenda, akachukua kuku walikuwa nayo,
akaichinja na wakati iliiva, akaita bwanake
wakakula pamoja wakaenda pekejeng

Loading views...

Na venye mm n bachelor 🤔nikifa xai life history ang c itakuwa fupi;”
Marehemu alizaliwa akazurura akafa”😂😂

Loading views...

Mimi natoka Murang’a….mwalimu wetu aliniuliza, wazimu ,how do you call mosquitoes in ur language? Nikasema we dont call them, they come by themselves..akaniambia sitaenda mbali na sahii nko naivasha…….. Nataka nifike eldoret nimpigie simu nimwambie niko mbali sana 😂

Loading views...


Ile time dryspell zimeku zidy afu mnakuaga na mboch mokorino 😂😂😂😂😂😂😂😂

Loading views...


Hahaha wamathe wa kisumu hucompit kuongea
English but hawatakagi kwambiwa hawajui

Loading views...

Ati dem wako anaforce issue kaa msee wa curfew😂😂😂

Loading views...


Niliambiwa na mwalimu wangu wa kiswahili ya kwamba ukiona mtu na makalio kubwa ujue ni ujinga amebeba hapo soo madem tuwache maringo ukiwa umebeba haaga ,,,,,”hiyo ni ujinga umebeba”.

Loading views...