Sub Categories

Ente itamba, yebare yesu kucwa ekidi,
I luv Uganda. God z good

Loading views...



Hahaha wamathe wa kisumu hucompit kuongea
English but hawatakagi kwambiwa hawajui

Loading views...

DNA test ya durha…Buti wamehe xava byala
U n’wa u langutisa nwana kahle

Loading views...

Hakuna kitu mbaya kama x wako kuku pata una tembea na Slipper’s moja ime katika umebeba mkononi

Loading views...


They say that love is blind bt mbona wasee uwa wanachagua madem wenye wako na sura poa

Loading views...


*Kuna cousin yangu amepata 50 out of 500. KCPE. Tunangojea alale tuhame.* Sa hii tuko maombi kwao.
Huyu amaweka family kwa kizungumkuti.

Loading views...


Hii ngozi enye Mungu alitumia kutengenezea magoti nashuku ni same na ile alitumia kutengenezea makende.
Hizi ngozi mbili zinafanana sana…
waaah can’t spot the difference! Men

Loading views...

Today a preacher in a public bus started preaching… “Leo nataka kuwasomea barua ya Paulo kwa Warumi”

A drunk man at the back asked him… “Kwa nini utusomee na sisi sio Warumi… Na kwanza nani amekwambia ufungue barua ya wenyewe???”

Loading views...


Ma sister, imagine walking in heaven and all the kids you aborted be like:
“Jesu nangu lo”

Loading views...


Dame : konda hii belt haiingii

Konda : paka mate iteleze 🤣🤣🤣

Loading views...


Kuishi nyumbani na mwanaume asiyekuwa na pesa ni sawa na kuishi na feniture ndani ya nyumba

Loading views...

em wangu aliniambia ka ninataka Mapenzi nitumia number Bluutooth

Loading views...