Sometimes I really wonder,
tulikiwa tunasoma kunyume ya nini ?
Loading views...
Sometimes I really wonder,
tulikiwa tunasoma kunyume ya nini ?
Loading views...
penda anae kupenda asiye kupenda achana nae
Loading views...
Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Loading views...
Mungu wetu ni wa heri kwa wote asuh naiona nyepesi japo mfukoni nina shiling hamsin chanji iliyo baki ya vitumbua jana. Naish vp chana akil inaitijika
Loading views...
Et ooo babe nkupenda pekeako ukome mi sijafundishwa ivo kwenye maish kumpenda mtu 1 sina tabia izo za jini😂😂😂
Loading views...
Hakika umefanyika bubujiko la nafsi yangu na kunifanya kuwa wakipekee kwako also all in all when i’m feel in love i see you my love
Loading views...
Unataka nizae mtoto afanane na ww baba ake kwan mm nna kifuko cha uzazi ama mashine ya photocopy 😜😜
Loading views...
Unaniita na nambari binafsi na nitazamia mimi
kuzungumza kwanza?
Nadhani tutaweza kupumzika mpaka utakapoendelea
Loading views...
Ushawahi potea njia unajipata kwa boma kwa MTU,
inabidi uombe maji ya kunywa…
Loading views...
Titi taaa tete kumilife is short so smile
whole still hve a chance to do so
Loading views...
Unapoondoka duka bila kununua chochote na unajiambia
“tenda kawaida, huna hatia”
Loading views...
Mdomo not kubwa..chapati waikunjia nini?
Loading views...
USIPENDE NINACHOPENDA KWA MAANA SIKU NIKIWA NACHO UTATAMAN CHAKWANGU NAWEW UKIWA NACHO NITATAMAN CHAKO
Loading views...
Ukimkuta dada amevaa miwani anakuwa na dharau sana anasahau kuwa kilichomfanya avae iyo miwani ni ugonjwa
😀😀😀🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Loading views...
akil ni nyele kila mtu ana zake
Loading views...
Today a preacher in a public bus started preaching… “Leo nataka kuwasomea barua ya Paulo kwa Warumi”
A drunk man at the back asked him… “Kwa nini utusomee na sisi sio Warumi… Na kwanza nani amekwambia ufungue barua ya wenyewe???”
Loading views...