Sub Categories

Mzee alikuwa anaomba Mungu kwa bedroom
na kiingereza “Thank you for Mercy, Thank you
for Joy, Thank you for Grace, I now have
Faith……”
Wife akaingia bedroom kwa fujo na kukatisha
maombi…… “Heh! Nilijua tu huwezi tosheka
na mimi…. Nini umekosa kwangu ndio uende
kwa Mercy, Joy, Grace na Faith???
Mzee akajaribu kumweleza but wife was so
infuriated hakuwa anataka kumwelewa. Wife
akakimbia kitchen akachukua ile kisu kali
kabisa, akangoja mzee alale aanze
kung’orota. Akawekelea maji kwa gas
ikachemka thero-thero-thero. Akachungulia
akaona mzee ako in deep sleep
Akaenda, akachukua kuku walikuwa nayo,
akaichinja na wakati iliiva, akaita bwanake
wakakula pamoja wakaenda pekejeng

Loading views...



Yanga yeti inapiga moja moja kama mgonjwa wa kisukali asanteni simba kwa kurejedha heshima ya wanaume

Loading views...

Ushawahi gongewa mlango kwa nguvu ukinyanduana na bae alafu kuenda kufungua unapata ni ule jirani mtiaji amekuja kukuomba chumvi

Loading views...


Madem wa siku izi wamekuwa kaa karao.mnakutana tao then next week uko ndani🤣😂🤣if you know you know

Loading views...


phone yaka e wetse kara pitsa ya motepa wao fisa… i’m worried about you guys , a LA fisa ke motepa ??

Loading views...


Niliambia caro nataka mtoto akanijibu uterus haiendi mahali nitafute pesa kwanza

Loading views...

Wasee wasee kwenu watu ni wengi hadi ikifika saa ya chakula unaitwa na Register

Loading views...


Aki wallahi lazima 2021 time watu wacheck before tuingie sisi ,Ile dissapointment nimepata 2020 siwezi dhubutu kuingia nayo 2021😏😏😏

Loading views...


Kuna mtu huku ndani hananga kazi.. Yeye hushinda kuitisha pics za watu then ako zile za… Wow, nice, cute, sexy. . 😂

Loading views...


Msukuma wa ukwel asema: The collection of grasshoppers is in the morning / Isunga ng’humbi lilidilu/ ukusanyaji wa panzi ni asubuhi, maana yake aanza kusaka maisha mapema, usingoje baadaye.

Loading views...

Kama huna pesa punguza kitambi we are tired of respecting wrong people

Loading views...

Wale mnaopima UKIMWI kila baada ya miezi mitatu waga mnataka nini????

Loading views...