Sub Categories

Akuna kitu tamu kama kupendwa na wazazi wako

Loading views...



Ushawahi gongewa mlango kwa nguvu ukinyanduana na bae alafu kuenda kufungua unapata ni ule jirani mtiaji amekuja kukuomba chumvi

Loading views...

Ushawai kuwa single for so long Hadi
unashangaa kwani ribs yako moja ilitumika kupika supu ama Nini🤣

Loading views...

*After KCPE Results*

*Dad:* how’s the results

*Son:* INEOS daddy

*Dad:* whats that ??

*Son:* 159

*Dad:* whaaat??
*Son:* Kipchoge
*Dad:* You mean?
*Son:* No human is limited.

Loading views...


Msichana mmoja alimpeleka mchumba wake kwao kumtambulisha kwa wazazi wake.

Alipofika tu baba yake akagundua dosari maana mvulana alikuwa mweusi tii ana matege makali na makengeza ya maana!!

Jamaa alipo ona sura ya baba mkwe wake imebadilika ikabidi atabasamu kiasi.
Lahaula! Alikuwa na mapengo hana meno yote ya mbele!

Baba akaamua amuite binti yake:

Baba:”Mwanangu hebu twende nje tuongee.”

Binti:”Baba sema hapahapa tu mchumba wangu ni kiziwi.”
.
.
Baba mtu akazimia!!

Loading views...

Hanna kitu kibay kam kusengenyana na mamb mazuri ni kama urafiki

Loading views...


Hata uwe msafi vipi ukitaka kujamba huwezi vua nguo

Loading views...


Cjai ona ugonjwa mbaya kma ujinga aina tiba Tina ni kibao

Loading views...


Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Loading views...


mtoto aliagizwa hela ya mlinzi na mwalimu akaenda kumweleza baba ake, baba akamjibu kamweleze mwalimu yesu ndio mlinzi mkuu aache wizi……😂😂😆😆😆🤣🤣

Loading views...

Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi
Panya 1: jamani mimi ni noma Wiki hii nimekula rat rat(sumu ya panya) mara tatu na sijadedi !!!
Panya 2 Wewe unasema nini, mimi nimekula nyama ikiwa
kwa mtego mara 5 nasijawahi dakwa
RAT 3 Mmemaliza? Mie hata sijui mnabishana nini? Mimi hii mimba niliyo nayo ni ya paka !!!
.
.Panya WA 1 na 2 wakazimia😆😆😆😆😆
Panya wa 3 huwa hapendi ujinga kabisa
😁😁😁😂😂😂

Loading views...


Ma sister, imagine walking in heaven and all the kids you aborted be like:
“Jesu nangu lo”

Loading views...

Nilieka face unlock kwa simu alafu kujaribu na sura ya ngombe shags ikaitikia. Ebunidoscribe😂😂😁

Loading views...