At I. Nyanyayako amezeeka had I akipiga miayo inalia kama mlango.
Loading views...
At I. Nyanyayako amezeeka had I akipiga miayo inalia kama mlango.
Loading views...
Mimi natoka Murang’a….mwalimu wetu aliniuliza, wazimu ,how do you call mosquitoes in ur language? Nikasema we dont call them, they come by themselves..akaniambia sitaenda mbali na sahii nko naivasha…….. Nataka nifike eldoret nimpigie simu nimwambie niko mbali sana 😂
Loading views...
Tangu nianze kula miraa 2017 hadi wa leo sijawahi lala,,
inasemekana uwa nakula kama nmelala.
Loading views...
If my mother is not happy with
Me being in her house,she must
Move out,I’m in my mothers house,
She must go to her mother’s house
Mongwe Le Mongwe Ga Mmagwe!
Loading views...
Imagine umelala afternoon bcoz the previous night ulikuwa kesha. mara unasika knock kwa mlango, ukienda kufungua unagongwa kidole ya mwisho ya mguu na kitanda, kuturn kidogo unaangukia ndoo za maji yanamwangika, unatereza kwa hayo maji unaangukia tv, na wire ya stima inakupinga shock kwa mgongo. unasimama na uchovu, maumivu, hasira na hasara. kufika kwa mlango kufungua unapatana na jamaa kwa mlango anasema, ” Habari yako? naregister lines za Orange!” utafanya? 😂😂
Loading views...
Eti ukiambia dem mkamba anadai umletee surprise gani anakushw umletee maji
Loading views...
Fuck maze, ile time umejipata maudenki zimekukaza then kufika kwa choo unapata kuna ninja ili kunia juu bt kulingana navile umekazwa inabidi uingine,,, then ukiwa ndani kimsee kinakam afu kinaamua kungoja utoke… Coz hauwezi taka aone hio shonde asikushuku ww unamua kutumia gazeti yako kupanguza hio shonde we unabaki hivyo
Loading views...
Some ladies will be there like..”I have inner beauty” my sister, kwani wewe ni mutura☹
Loading views...
Ati nyinyi ni wengi hadi mama anapiga chapo moja alafu zingine zinawekwa photocopy
Loading views...
Mapenzi yanaweza kukupa stress hadi mama ako akikuuliza what is wrong. …… unaeza mjibu Mama we bado mdogo huezi elewa
Loading views...
Unaringa unadhani nitakuwaza……unashtukia nishakusahau
Loading views...
*Siyo Lazima Mpenzi wako Akija Mfanye Mapenzi…Kamtembeze Ata Makaburini Umwonyeshe Utakapo Mzika Siku Atacheza Na Hisia Zako
Loading views...
Ucnione mdogo ukaniramba kisongo mtakubwagia zongo ukushinde muhogo
Loading views...
Sis:I was at UKZN n thy said thy are still pending, what do thy mean ??😯😑
Me: sisi thy mean bayapenda
Loading views...
Nilieka face unlock kwa simu alafu kujaribu na sura ya ngombe shags ikaitikia. Ebunidoscribe😂😂😁
Loading views...
LOVE IS LOVE MY FRIEND but Love is verry complicated in this world tunaweza kupendana kati yangu na mschana arakini ukakuta kama akunda mtu anafurahiya mapenzi yetu ndio mnaa kira mtu akuwe ana acha mngu ataware upendo wake na huyo mwana mke kwa ju bakijitawara nanaweza Angamia siyo kitu laisi bwana ni kwenda pole pole man.
Loading views...