Kua smart bro kupeleka dame si wako out then unamdrop kwao ni Kama kuweka token kwa meter ya lodging bro
Loading views...
Kua smart bro kupeleka dame si wako out then unamdrop kwao ni Kama kuweka token kwa meter ya lodging bro
Loading views...
This is a spirit
click on
doubts
yeah
targeted
Heewaa ???
Loading views...
Kuna dem ameniuliza WHERE DID WE FIRST MEET??
Sijui nimkumbushe ile day chali yake aliniomba keja juu mm nilikuwa yule msee nilikuwa nafua hapo nje
Loading views...
Why fire kempinski staff for doing it we all do it, the riskier the place the better. They didn’t tell cameras to watch..
Loading views...
To my future kids,Mimi Niko tayari kuwaleta duniani lakini baba yenu anangangania warembo uko inje 🤣🤣
Msinilaumu nikiwaambia tulivaa vikapu Kama ngombe mwaka mzima😭
Loading views...
nimeiba kipimo cha mimba hosiptli nkajuwa ni flashi
🤣🤣🤣🤣🤣
Loading views...
Sis:I was at UKZN n thy said thy are still pending, what do thy mean ??😯😑
Me: sisi thy mean bayapenda
Loading views...
phone yaka e wetse kara pitsa ya motepa wao fisa… i’m worried about you guys , a LA fisa ke motepa ??
Loading views...
Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!
Loading views...
Nakumbuka Chemistry paper 1 kulikuwa na hii swali “State 3 characteristics of bromine” Sasa mimi na ujinga yangu nikaandika characteristics za Bro wa mine😁
Loading views...
Ukitaka ukwel ulizia kiundan zaidi love is poison true
or false
Loading views...
Zamani watu wenye pesa nyingi ndo walikuwa wanatafuta wanawake wazuri, but now days wanawake ndo wanatafuta watu wenye pesa…
Maisha yanabadilika?
Lakini huwezi kuamini kuwa fikra zao zote zinaamini kuwa “pesa” ndo kila ki2…..? @
Napenda kuwakumbusa kuwa si kweli hata kidogo Amini kuna vitu “pesa” haiwezi nunua mfano
“Upendo” Tabia na mengine mengi
M/mungu ndie kila ki2 kwe2 hata ukatae ukubalii ndo hvyoo…
Msipofikilia vzr mtapata tabu xnaa
Loading views...
Kujulikana na mother in-law
Si kuolewa,, ulizeni ex wangu😂😂😂😂
Loading views...
Unataka nizae mtoto afanane na ww baba ake kwan mm nna kifuko cha uzazi ama mashine ya photocopy 😜😜
Loading views...
Kupenda asiye kupenda ni sawa na kungoja meli Kwa uwanja wa ndege
Loading views...
Bak in skull ukiwa Dom….
we Zima stima tulale unaskia wazimu mwngne ukilala class ulkuwa umezima stima
Loading views...