mtoto aliagizwa hela ya mlinzi na mwalimu akaenda kumweleza baba ake, baba akamjibu kamweleze mwalimu yesu ndio mlinzi mkuu aache wizi……😂😂😆😆😆🤣🤣
Loading views...
mtoto aliagizwa hela ya mlinzi na mwalimu akaenda kumweleza baba ake, baba akamjibu kamweleze mwalimu yesu ndio mlinzi mkuu aache wizi……😂😂😆😆😆🤣🤣
Loading views...
Maisha ni siri
Nan wakuifichua??? 🤔🤔🤔🤔
Loading views...
Hata uwe na haraka kiasi gani…,lazima matako itabaki nyuma
Loading views...
Furaha usoni, maumivu noyoni.
Loading views...
Na venye mm n bachelor 🤔nikifa xai life history ang c itakuwa fupi;”
Marehemu alizaliwa akazurura akafa”😂😂
Loading views...
tafadhali shiriki utani wako na sisi katika lugha ya swahili
Loading views...
To our sisters leo want to ask you this question hivi…..
“what would you do if you start arguing with your man and he starts crying”
Sisi tuko hapa to see the comments and kuchangia where we have too
Loading views...
Demu:babe leo bata wap??
Boy:kwani wewe unataka tukale wap???
Demu:nataka tukale kwa hotel kubwa
Boy:acha ufala leo bata kwani uja waona kwenye banda lao wanakula 😂😂😂😂😂
Loading views...
Msichana mrembo lakini akinyamba
Maiti Inageuza kichwa🤣🤣🤣🤣🤣
Loading views...
Oyaa oyaa m uneza niita kwako ama mbogi ya xhivakala
Loading views...
Relationship stress ekago dira o nyake seat belt ko toilet seat
Loading views...
Sio sigara tu hata ukiwa na mwanamke msumbufu ni hatari kwa afya yako
Loading views...
Huku afrika ukitaka breakfast in bed,pls kalale jikoni🙃🙃 by Carlos ochieng agunda
Loading views...
Tajiri Au Masikini Wote Tuna Masaa 24⏲️Kila Siku..
Chagua Vizuri Jinsi Ya Kutumia Muda Wako…✍🏼
Loading views...
umewahi kasiliswa na mpango wa kando hadi ukataka kambia wife?
Loading views...
Kopo la chooni ni la chooni tu,hata liwe jipya haliekwi kabatini.
Loading views...