Msichana mrembo lakini akinyamba Maiti Inageuza kichwa🤣🤣🤣🤣🤣
Katika maisha yako kuna kupuliza iwake na kupuliza ipoe… Lkn wengi wetu wanapokuwa wakipuliza ipoe wanajikuta wameiwasha….
Ukimkuta dada amevaa miwani anakuwa na dharau sana anasahau kuwa kilichomfanya avae iyo miwani ni ugonjwa 😀😀😀🏃♂️🏃♂️🏃♂️
*After KCPE Results* *Dad:* how’s the results *Son:* INEOS daddy *Dad:* whats that ?? *Son:* 159 *Dad:* whaaat?? *Son:* Kipchoge Continue Reading..
Tusikizane vizuri,,, haikua kupenda kwangu kuishi Kwa nyumba ya mabati, ukikuja kwangu sio lazima ubishe mabati,🙄🙄🙄🙄😏😏😏 bisha Tu mlango ntakuskia Continue Reading..
Ati dem wako anaforce issue kaa msee wa curfew😂😂😂
Sometimes I really wonder, tulikiwa tunasoma kunyume ya nini ?
Mnakumbuka lucky dube akiimba there will be no schools anymore only prison prison mkadhani ni bangi
Na venye mm n bachelor 🤔nikifa xai life history ang c itakuwa fupi;” Marehemu alizaliwa akazurura akafa”😂😂
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *