Hahaha wamathe wa kisumu hucompit kuongea
English but hawatakagi kwambiwa hawajui
Loading views...
Hahaha wamathe wa kisumu hucompit kuongea
English but hawatakagi kwambiwa hawajui
Loading views...
Kama ukijua kua MTU ni watu maana MTU peke hawezi akaishi kamwe
Loading views...
Tangu nianze kula miraa 2017 hadi wa leo sijawahi lala,,
inasemekana uwa nakula kama nmelala.
Loading views...
This is a spirit
click on
doubts
yeah
targeted
Heewaa ???
Loading views...
Unataka nizae mtoto afanane na ww baba ake kwan mm nna kifuko cha uzazi ama mashine ya photocopy 😜😜
Loading views...
Aki wallahi lazima 2021 time watu wacheck before tuingie sisi ,Ile dissapointment nimepata 2020 siwezi dhubutu kuingia nayo 2021😏😏😏
Loading views...
Mungu wetu ni wa heri kwa wote asuh naiona nyepesi japo mfukoni nina shiling hamsin chanji iliyo baki ya vitumbua jana. Naish vp chana akil inaitijika
Loading views...
To our sisters leo want to ask you this question hivi…..
“what would you do if you start arguing with your man and he starts crying”
Sisi tuko hapa to see the comments and kuchangia where we have too
Loading views...
Niliambia caro nataka mtoto akanijibu uterus haiendi mahali nitafute pesa kwanza
Loading views...
Zamani wasichana walipika kama mama zao
lakini saivi wanakunywa kama baba zao
Loading views...
Back in high school, I was very poor in maths during exams nilikua napata Kati ya 4% na 10%🙈. The results used to be announced from the lowest maarks to the highest marks,, so nilikua wa kwanza ama wa pili kuitwa😑 alafu napokea viboko kadhaa 😏.
So one day the maths results were announced and my name wasn’t among the first to be called 🤜🤛…so mwalimu anaendelea 30%, 40%, 50%, 60%, 70% bado jina langu halikuitwa, kila mtu kwa class akaniangalia👀,, wanauliza “umepitaje huu mtihani?”😝,nikasmile nikasema ” Ni mungu tu” by the time alifika 80% I was already grinning in excitement. Wakati alifika 90% alikuwa amebaki na paper moja tu 😁🙌,, saa mungu amejibu maombi na ndoto yangu ya kupita maths imetimia🙏,, class mzima walishangaa na kuniangalia 👀,, finally mwalimu akaangalia juu na kusema.
“One idiot did not write his name and he scored 0%”. l just fainted 😂😂
Loading views...
Wanaume wa Siku hizi ni vigumu kuwatambua na makalio za wanawake za kila rangi now dayz ni zilipendwa
Loading views...
MIMI KAMA SIMU YAKO
Nataka uniheshimu.Sipendi ukiniweka kila saa kwa vibrate mode,alafu usiniweke kwa mfuko wako wa nyuma…ukinyamba wataka nifeel aje? Alafu ukiamka asubuhi plz brush mdomo kabla unitumie…wewe huwaga unanuka mdomo ni vile sitaki kukuambia! Then kuna ile siku uliniweka credit bamba 5 hio siku uliniudhi! Huoni ni aibu hio lakini nikanyamaza tu..Saa zingine we huenda na mimi chooni! Hio ni heshima kweli?
Loading views...
Ujinga nini?
Ujinga ni pale napotoa 1 million kama mahari!
Wakati aliyetoa bikra! Katulia hukoooo!
Loading views...
Kama nilikuudhi mwaka huu , kumbuka mwakani ni palepale sikufugi😂😂
Loading views...
Mdomo not kubwa..chapati waikunjia nini?
Loading views...