Opening of schools before bars shows government respects children more than the elderly wakati wa kura watafute hao watoto wawapigie
hatupendi ujinga
Loading views...
Opening of schools before bars shows government respects children more than the elderly wakati wa kura watafute hao watoto wawapigie
hatupendi ujinga
Loading views...
Tusikizane vizuri,,, haikua kupenda kwangu kuishi Kwa nyumba ya mabati, ukikuja kwangu sio lazima ubishe mabati, bisha Tu mlango ntakuskia nanii
Loading views...
Wasee wasee kwenu watu ni wengi hadi ikifika saa ya chakula unaitwa na Register
Loading views...
Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!
Loading views...
Huku afrika ukitaka breakfast in bed,pls kalale jikoni by Carlos ochieng agunda
Loading views...
Katika maisha yako kuna kupuliza iwake na kupuliza ipoe…
Lkn wengi wetu wanapokuwa wakipuliza ipoe wanajikuta wameiwasha….
Loading views...
akil ni nyele kila mtu ana zake
Loading views...
Kumbe Tumbo ndo inanyamba Matako ni Speaker tu
Loading views...
Mimi natoka Murang’a….mwalimu wetu aliniuliza, wazimu ,how do you call mosquitoes in ur language? Nikasema we dont call them, they come by themselves..akaniambia sitaenda mbali na sahii nko naivasha…….. Nataka nifike eldoret nimpigie simu nimwambie niko mbali sana
Loading views...
When she’s hot as fuck but flopo eore a nkga legano you’ll end up saying things like “etlwa colgate ye enale swikiri ye nchi bjang”.. before you kiss her
Loading views...
Sio Siri ni serious majini haya tuwezi mageniaus..
and remember to observe believe can help you to do anything you want..
Loading views...
Dactari akioa nurse wanaweza zaa mgonjwa ?
Loading views...
Nampenda bwana yesu Sikh zote za maisha yangu kwani yeye ndiye mwenye kunipendeza na hakuna mwingine zaidi yake katika maisha yangu. Ahsante yesu kwa kunijalia afya njema ,kunikinga na na maradhi kuniepusha dhoruba za dunia hii na uzidi kuendelea kuniepusha tena na tena mpaka hapo utakapo niita baba yetu .ahsante baba kwa ridhiki unayonijalia kila siku, bariki mazao yangu ya shamba pia bariki biashara yangu iwe na Wateja wengi na I we endelevu,naomba ktk jina la yesu amina
Loading views...
Unalia nkikataa kupic call yako na umepiga mara moja tu,
ni mara ngapi yesu amekuita na ukakataa.?
Loading views...
Na hats uwe unapenda vipi
Kumenya viungo vya mboga
Lakini huwezi kumenya pilipili
au bamia”
Loading views...
Unataka nizae mtoto afanane na ww baba ake kwan mm nna kifuko cha uzazi ama mashine ya photocopy
Loading views...