Unataka nizae mtoto afanane na ww baba ake kwan mm nna kifuko cha uzazi ama mashine ya photocopy 😜😜
Loading views...
Unataka nizae mtoto afanane na ww baba ake kwan mm nna kifuko cha uzazi ama mashine ya photocopy 😜😜
Loading views...
To my future kids,Mimi Niko tayari kuwaleta duniani lakini baba yenu anangangania warembo uko inje 🤣🤣
Msinilaumu nikiwaambia tulivaa vikapu Kama ngombe mwaka mzima😭
Loading views...
Uko njiani pekee yako usiku Mara unaona mtu mbele unaharakisha mwendane na yeye mnafika sehemu inayotisha Mara unasikia akisema….”mahali hapa tumefka ndo nliuawa”manze apo ndo utajua hujui😁😁😁😁😁😁
Loading views...
Eti ooh nataka mwanaume wa kunilinda na ukitongozwa na mlinzi unakataa!?
Loading views...
Dame : konda hii belt haiingii
Konda : paka mate iteleze 🤣🤣🤣
Loading views...
Yesu angejua vile wezi wanafanyiwa mtaanj agedhubutu kuja kama mwizi
Loading views...
Wale mnaopima UKIMWI kila baada ya miezi mitatu waga mnataka nini????
Loading views...
Hata uwe na haraka kiasi gani…,lazima matako itabaki nyuma
Loading views...
Kwako Kuna bed switch ama unazimanga stima then unatembea hadi kwa bed Kama kipofu
Loading views...
This is a spirit
click on
doubts
yeah
targeted
Heewaa ???
Loading views...
nimekumbuka mitochondrion nikasahau pin ya mpesa😲🤣😋😋😋🤔😁
Loading views...
Ati dem wako anaforce issue kaa msee wa curfew😂😂😂
Loading views...
Ukimkuta dada amevaa miwani anakuwa na dharau sana anasahau kuwa kilichomfanya avae iyo miwani ni ugonjwa
😀😀😀🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Loading views...
Kuna dem ameniuliza WHERE DID WE FIRST MEET??
Sijui nimkumbushe ile day chali yake aliniomba keja juu mm nilikuwa yule msee nilikuwa nafua hapo nje
Loading views...
Mkinisema kila Mara mie ndio uzima wangu bure zenu biashara za majungu dhidi yangu, cemeni cina hasara atanilipia mungu
Loading views...
Usitake Leo iwe historia Ila acha historia Itakapofikia kuwa historia
Loading views...