Sub Categories

Kwa nini ulikubali myanyako aolewe na babu yako .naunajua wote ni wazee.umestakia kuruhusu hawa watu wawili hapa kituo cha.jongo love. Kesho kabla ya kikwara wa kwanza kupiga mswaki.kama hutakuja utatembelewa na baby wa ma Baby. Olewako sina huruma na hii kesi.Hello statu up you nau don’t giverup.

Loading views...



Unaninyamazia unafikiria ntakumiss unashtuka nilikusahau 😂😂😂💔💔

Loading views...

Mato niki refu kuliko mutura ya soko mjinga itabidi apuguzwe na rungu ya masaai

Loading views...

Sio Siri ni serious majini haya tuwezi mageniaus..
and remember to observe believe can help you to do anything you want..

Loading views...


Ao Khape Blesser Ge A Fithla Gate’ng Ya Ko Geno A Re
“Jbanh O Ngwana Wa Mbali?

Loading views...

To our sisters leo want to ask you this question hivi…..

“what would you do if you start arguing with your man and he starts crying”

Sisi tuko hapa to see the comments and kuchangia where we have too

Loading views...


Sijai sikia mganga anatibu nguvu za kike kwani wanawake wote mko sawa

Loading views...


Madem wengi kasi ya n ya kufilter picha wapost kwa status na hawakumbuki lika yao inaelekeakumalisha ulezi

Loading views...

Kupenda usipende sanaaaa chukulia umempenda sana mwanamke halafu anakuwekea limbwata unafikiri utakuwa kwenye hali gani

Loading views...


Opening of schools before bars shows government respects children more than the elderly🙉 wakati wa kura watafute hao watoto wawapigie🤪 hatupendi ujinga

Loading views...


Mko kwenye sensa mara wakala anauliza mama una g’ombe hapa na mama anaanza kukuangalia wewe

Loading views...

Dame:Babe nko na ball
Boyie:leta tucheze futa atleast tufanye maexercise
Dame:si ivo😊nko nimebemba
Boyie:Nini tena?… Umechoka nikusaidaie…
Dame:Nkt😅acha kujifanya huelewi
Boyie:Bydah nani alikubuyia..??na mbona hukunxhw nikubuyie?… Dats means unancheza…. Wacha tu tuachane peacefuly…
Dame:Aky babe namaanxha nko pregnant….
Boyie:Ulitoa wapi😱🙊…
Dame:Ni yako🙈🙈🙈🙈
Boyie:💃👋👋👋👋👍👍👍👍👍👏👏nlitaka ivo coz uliwa unaniringia… RINGA SASA TUONE
Dame:sawa tu….🙈🙊🙊🙊🙈🙈🙈😅😅😢😢😱😱😱😱😱??????
Boyie:Naga nima ndukoragwa na mutwe mwega
Dame:Onawe thii okiomaga

Loading views...


Lakini sikumuacha kwa ubaya ata wewe unaeza date dem anaita njaa maunenge 😂😂

Loading views...

Tusikizane vizuri,,, haikua kupenda kwangu kuishi Kwa nyumba ya mabati, ukikuja kwangu sio lazima ubishe mabati,🙄🙄🙄🙄😏😏😏 bisha Tu mlango ntakuskia nanii

Loading views...