Imagine umelala afternoon bcoz the previous night ulikuwa kesha. mara unasika knock kwa mlango, ukienda kufungua unagongwa kidole ya mwisho ya mguu na kitanda, kuturn kidogo unaangukia ndoo za maji yanamwangika, unatereza kwa hayo maji unaangukia tv, na wire ya stima inakupinga shock kwa mgongo. unasimama na uchovu, maumivu, hasira na hasara. kufika kwa mlango kufungua unapatana na jamaa kwa mlango anasema, ” Habari yako? naregister lines za Orange!” utafanya? 😂😂
Related Posts
WELCOME TO KENYA Where people leave as they return “acha niende ivi nakam”…. Where the husband huitwa baby and the Continue Reading..
Wasee wasee kwenu watu ni wengi hadi ikifika saa ya chakula unaitwa na Register
Ushai chunwa kinyambio na mgenge😂😂😂😂😃
Back in high school, I was very poor in maths during exams nilikua napata Kati ya 4% na 10%🙈. The Continue Reading..
Aahahaha ujinga n kubuy kiberitti tano n kujaribu k zote zina waka
Unataka kucheza n ingali umesimama Aaaaah inama inama
Tangu nipikie wageni chai kwa sufuria ya omena , madhee hajawai kubali niingie jikoni
Ety demu kwakwmbia uwende kwao kwakuwa mama yake ayupo, kumbe nao ni ushezi
