Sub Categories

In every man’s life kunakuaga na dem kila mtu huassume mshakulana na hamjawai 😌
Alafu kunakuaga na dem mshakulana lakini huezi ambia watu mshaikulana 😭
Alafu kuna dem ukiambia watu mshaikulana hawaamini 🌝
Alafu kuna dem mnakulananga lakini nyinyi wote hamuezi ambia watu coz mtastopisha reggae. 😂😂😂😂😂

Loading views...



Usitake Leo iwe historia Ila acha historia Itakapofikia kuwa historia

Loading views...

Karibuni nyumbani yasubuhi yote milele.Sasa nasoma the only disability in life is a bad attitude,Meskiya? Also true happiness lies,first of all in health.Sursunday

Loading views...

Kati ya hizi mbili ni gani ya aibu:

1.Kupatwa
Ukijipima viatu za
mgeni.

2.mgeni akipatwa
akiongezea maji ya
ugali. 😂😂

Loading views...


ushawai kula kitu tamu hadi ukikumbuka unaanza kulamba vidole??

Mimi cjawai ?😂

Loading views...

Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi
Panya 1: jamani mimi ni noma Wiki hii nimekula rat rat(sumu ya panya) mara tatu na sijadedi !!!
Panya 2 Wewe unasema nini, mimi nimekula nyama ikiwa
kwa mtego mara 5 nasijawahi dakwa
RAT 3 Mmemaliza? Mie hata sijui mnabishana nini? Mimi hii mimba niliyo nayo ni ya paka !!!
.
.Panya WA 1 na 2 wakazimia😆😆😆😆😆
Panya wa 3 huwa hapendi ujinga kabisa

Loading views...


Unaninyamazia unafikiria ntakumiss unashtuka nilikusahau 😂😂😂💔💔

Loading views...


Ww sherekea kukaa nyumbani na next yr uko form 4 seoson 2 🤣🤣🤣🤣

Loading views...

phone yaka e wetse kara pitsa ya motepa wao fisa… i’m worried about you guys , a LA fisa ke motepa ??

Loading views...

……… ….. Maslay queen…..wanaoganga qweli juu hawapendi kugusa maji…..

Loading views...


Wale mnaopima UKIMWI kila baada ya miezi mitatu waga mnataka nini????

Loading views...


Uzuri wa kunyonga monkey unaweza adjust iwe tight ama mtaro!!😏
Vile unataka

Loading views...

Si kampuni ya makeup i strike ndo tujue Wanaume niwangapi hii Kenya

Loading views...


Hahaha wamathe wa kisumu hucompit kuongea
English but hawatakagi kwambiwa hawajui

Loading views...

Tajiri Au Masikini Wote Tuna Masaa 24⏲️Kila Siku..

Chagua Vizuri Jinsi Ya Kutumia Muda Wako…✍🏼

Loading views...

Back in high school, I was very poor in maths during exams nilikua napata Kati ya 4% na 10%🙈. The results used to be announced from the lowest maarks to the highest marks,, so nilikua wa kwanza ama wa pili kuitwa😑 alafu napokea viboko kadhaa 😏.
So one day the maths results were announced and my name wasn’t among the first to be called 🤜🤛…so mwalimu anaendelea 30%, 40%, 50%, 60%, 70% bado jina langu halikuitwa, kila mtu kwa class akaniangalia👀,, wanauliza “umepitaje huu mtihani?”😝,nikasmile nikasema ” Ni mungu tu” by the time alifika 80% I was already grinning in excitement. Wakati alifika 90% alikuwa amebaki na paper moja tu 😁🙌,, saa mungu amejibu maombi na ndoto yangu ya kupita maths imetimia🙏,, class mzima walishangaa na kuniangalia 👀,, finally mwalimu akaangalia juu na kusema.

“One idiot did not write his name and he scored 0%”. l just fainted 😂😂

Loading views...