Uko wapi we minagawa pesa sahizi
Loading views...
Uko wapi we minagawa pesa sahizi
Loading views...
Tusikizane vizuri,,, haikua kupenda kwangu kuishi Kwa nyumba ya mabati, ukikuja kwangu sio lazima ubishe mabati,🙄🙄🙄🙄😏😏😏 bisha Tu mlango ntakuskia nanii
Loading views...
asiye funzwa na mamaye babake ni mwalimu
Loading views...
Jacaylka midopa cidi ku mashqusha maxkamada halla saaro
Loading views...
Mtu mmoja amekimbia paka sikio lake ameguza chini
Loading views...
Kwako Kuna bed switch ama unazimanga stima then unatembea hadi kwa bed Kama kipofu
Loading views...
Ati wakaba wana peda maji adi wakiabiwa
i love you wanasema water suprise
Loading views...
Back in high school, I was very poor in maths during exams nilikua napata Kati ya 4% na 10%🙈. The results used to be announced from the lowest maarks to the highest marks,, so nilikua wa kwanza ama wa pili kuitwa😑 alafu napokea viboko kadhaa 😏.
So one day the maths results were announced and my name wasn’t among the first to be called 🤜🤛…so mwalimu anaendelea 30%, 40%, 50%, 60%, 70% bado jina langu halikuitwa, kila mtu kwa class akaniangalia👀,, wanauliza “umepitaje huu mtihani?”😝,nikasmile nikasema ” Ni mungu tu” by the time alifika 80% I was already grinning in excitement. Wakati alifika 90% alikuwa amebaki na paper moja tu 😁🙌,, saa mungu amejibu maombi na ndoto yangu ya kupita maths imetimia🙏,, class mzima walishangaa na kuniangalia 👀,, finally mwalimu akaangalia juu na kusema.
“One idiot did not write his name and he scored 0%”. l just fainted 😂😂
Loading views...
Huku afrika ukitaka breakfast in bed,pls kalale jikoni🙃🙃 by Carlos ochieng agunda
Loading views...
tafadhali shiriki utani wako na sisi katika lugha ya swahili
Loading views...
Unalia nkikataa kupic call yako na umepiga mara moja tu,
ni mara ngapi yesu amekuita na ukakataa.?
Loading views...
My future wife si uje ama nifungue butchery na hizi ngombe za dowry
Loading views...
ushawai kula kitu tamu hadi ukikumbuka unaanza kulamba vidole??
Mimi cjawai ?😂
Loading views...
umewahi kasiliswa na mpango wa kando hadi ukataka kambia wife?
Loading views...
This is a spirit
click on
doubts
yeah
targeted
Heewaa ???
Loading views...
Mungu wetu ni wa heri kwa wote asuh naiona nyepesi japo mfukoni nina shiling hamsin chanji iliyo baki ya vitumbua jana. Naish vp chana akil inaitijika
Loading views...