Hanna kitu kibay kam kusengenyana na mamb mazuri ni kama urafiki
Sub Categories
In every manโs life kunakuaga na dem kila mtu huassume mshakulana na hamjawai ๐
Alafu kunakuaga na dem mshakulana lakini huezi ambia watu mshaikulana ๐ญ
Alafu kuna dem ukiambia watu mshaikulana hawaamini ๐
Alafu kuna dem mnakulananga lakini nyinyi wote hamuezi ambia watu coz mtastopisha reggae. ๐๐๐๐๐
Do not let any one to know. Am telling u a big secret.
It is only between us okay. Ati nimeskia kama Kenya iko Africa ??ni kweli ama??๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Sis:I was at UKZN n thy said thy are still pending, what do thy mean ??๐ฏ๐
Me: sisi thy mean bayapenda
Jee ushawai panda ndege ama unangoja siku ya kwenda mbinguni????
Wakati wowote mkia hautikisi ngo,
mbe,ng,ombe ndo hutikisa mkia
USIPENDE NINACHOPENDA KWA MAANA SIKU NIKIWA NACHO UTATAMAN CHAKWANGU NAWEW UKIWA NACHO NITATAMAN CHAKO
Sio Siri ni serious majini haya tuwezi mageniaus..
and remember to observe believe can help you to do anything you want..
*Siyo Lazima Mpenzi wako Akija Mfanye MapenziโฆKamtembeze Ata Makaburini Umwonyeshe Utakapo Mzika Siku Atacheza Na Hisia Zako
When sheโs hot as fuck but flopo eore a nkga legano ๐๐ youโll end up saying things like โetlwa colgate ye enale swikiri ye nchi bjangโ.. before you kiss her
Opening of schools before bars shows government respects children more than the elderly๐ wakati wa kura watafute hao watoto wawapigie๐คช hatupendi ujinga
Wakikuyu ni wasafi hati wawesi chafuwa meza kwa clap
Karibuni nyumbani yasubuhi yote milele.Sasa nasoma the only disability in life is a bad attitude,Meskiya? Also true happiness lies,first of all in health.Sursunday
mtoto aliagizwa hela ya mlinzi na mwalimu akaenda kumweleza baba ake, baba akamjibu kamweleze mwalimu yesu ndio mlinzi mkuu aache wiziโฆโฆ๐๐๐๐๐๐คฃ๐คฃ
Hii Nairobi kama hujaact setbooks
Haujajaribu online jobs za global alliance (kwanza hii)๐
Haujaenda mjengo๐
Haujafanya promotion ya nodules ama simu๐ฉ๐ซ
Halafu kuna ile walk ya kiadvatise pizza na kuku ๐
๐
My friend hakuna kitu utaniambia kuhusu kuhustle๐
Yesu angejua vile wezi wanafanyiwa mtaanj agedhubutu kuja kama mwizi