Do not let any one to know. Am telling u a big secret.
It is only between us okay. Ati nimeskia kama Kenya iko Africa ??ni kweli ama??
Loading views...
Do not let any one to know. Am telling u a big secret.
It is only between us okay. Ati nimeskia kama Kenya iko Africa ??ni kweli ama??
Loading views...
Dactari akioa nurse wanaweza zaa mgonjwa ?
Loading views...
umewahi kasiliswa na mpango wa kando hadi ukataka kambia wife?
Loading views...
Uko wapi we minagawa pesa sahizi
Loading views...
Yanga yeti inapiga moja moja kama mgonjwa wa kisukali asanteni simba kwa kurejedha heshima ya wanaume
Loading views...
Ukimkuta dada amevaa miwani anakuwa na dharau sana anasahau kuwa kilichomfanya avae iyo miwani ni ugonjwa
Loading views...
Ww sherekea kukaa nyumbani na next yr uko form 4 seoson 2
Loading views...
Mungu wetu ni wa heri kwa wote asuh naiona nyepesi japo mfukoni nina shiling hamsin chanji iliyo baki ya vitumbua jana. Naish vp chana akil inaitijika
Loading views...
Ao Khape Blesser Ge A Fithla Gate’ng Ya Ko Geno A Re
“Jbanh O Ngwana Wa Mbali?
Loading views...
Ati wakaba wana peda maji adi wakiabiwa
i love you wanasema water suprise
Loading views...
Eti ukiambia dem mkamba anadai umletee surprise gani anakushw umletee maji
Loading views...
Sio sigara tu hata ukiwa na mwanamke msumbufu ni hatari kwa afya yako
Loading views...
Maisha ni safari ndefu mnoo
Ainaga kipimo ata siku moja
Tunachopaswa kufanya ni
Kutokukata tamaa ktk kila jambo.
Loading views...
Ati nyinyi ni wengi hadi mama anapiga chapo moja alafu zingine zinawekwa photocopy
Loading views...
I hope my book of life ingeandikwa na kalamu ya mate kuna ka place nafaa kuvuta
Loading views...
Dame : konda hii belt haiingii
Konda : paka mate iteleze
Loading views...