Sub Categories

Ma sister, imagine walking in heaven and all the kids you aborted be like:
“Jesu nangu lo”

Loading views...



Tangu nipikie wageni chai kwa sufuria ya omena , madhee hajawai kubali niingie jikoni

Loading views...

Do not let any one to know. Am telling u a big secret.
It is only between us okay. Ati nimeskia kama Kenya iko Africa ??ni kweli ama??🤣🤣🤣🤣

Loading views...


Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi
Panya 1: jamani mimi ni noma Wiki hii nimekula rat rat(sumu ya panya) mara tatu na sijadedi !!!
Panya 2 Wewe unasema nini, mimi nimekula nyama ikiwa
kwa mtego mara 5 nasijawahi dakwa
RAT 3 Mmemaliza? Mie hata sijui mnabishana nini? Mimi hii mimba niliyo nayo ni ya paka !!!
.
.Panya WA 1 na 2 wakazimia😆😆😆😆😆
Panya wa 3 huwa hapendi ujinga kabisa
😁😁😁😂😂😂

Loading views...

tafadhali shiriki utani wako na sisi katika lugha ya swahili

Loading views...


Ati nyinyi ni wengi hadi mama anapiga chapo moja alafu zingine zinawekwa photocopy

Loading views...


Lakini si mtu akibuy laini ya Airtel anafaa kupewa na jacket ya kuprevent baridi wakati anatafuta network

Loading views...


Karibuni nyumbani yasubuhi yote milele.Sasa nasoma the only disability in life is a bad attitude,Meskiya? Also true happiness lies,first of all in health.Sursunday

Loading views...


LOVE IS LOVE MY FRIEND but Love is verry complicated in this world tunaweza kupendana kati yangu na mschana arakini ukakuta kama akunda mtu anafurahiya mapenzi yetu ndio mnaa kira mtu akuwe ana acha mngu ataware upendo wake na huyo mwana mke kwa ju bakijitawara nanaweza Angamia siyo kitu laisi bwana ni kwenda pole pole man.

Loading views...

Jee ushawai panda ndege ama unangoja siku ya kwenda mbinguni????

Loading views...


Pesa kidogo tu ukiongea unasema I mean si useme tu unamaanisha tutakuelewa mabaharia

Loading views...

In your last relationship, ulikuwa impeached, ulistep down ama uliangushwa na external forces?

Loading views...

Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Loading views...