Sub Categories

Hanna kitu kibay kam kusengenyana na mamb mazuri ni kama urafiki



In every manโ€™s life kunakuaga na dem kila mtu huassume mshakulana na hamjawai ๐Ÿ˜Œ
Alafu kunakuaga na dem mshakulana lakini huezi ambia watu mshaikulana ๐Ÿ˜ญ
Alafu kuna dem ukiambia watu mshaikulana hawaamini ๐ŸŒ
Alafu kuna dem mnakulananga lakini nyinyi wote hamuezi ambia watu coz mtastopisha reggae. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Do not let any one to know. Am telling u a big secret.
It is only between us okay. Ati nimeskia kama Kenya iko Africa ??ni kweli ama??๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Sis:I was at UKZN n thy said thy are still pending, what do thy mean ??๐Ÿ˜ฏ๐Ÿ˜‘

Me: sisi thy mean bayapenda


Wakati wowote mkia hautikisi ngo,
mbe,ng,ombe ndo hutikisa mkia


USIPENDE NINACHOPENDA KWA MAANA SIKU NIKIWA NACHO UTATAMAN CHAKWANGU NAWEW UKIWA NACHO NITATAMAN CHAKO


*Siyo Lazima Mpenzi wako Akija Mfanye Mapenziโ€ฆKamtembeze Ata Makaburini Umwonyeshe Utakapo Mzika Siku Atacheza Na Hisia Zako

When sheโ€™s hot as fuck but flopo eore a nkga legano ๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’ youโ€™ll end up saying things like โ€œetlwa colgate ye enale swikiri ye nchi bjangโ€.. before you kiss her


Opening of schools before bars shows government respects children more than the elderly๐Ÿ™‰ wakati wa kura watafute hao watoto wawapigie๐Ÿคช hatupendi ujinga


Karibuni nyumbani yasubuhi yote milele.Sasa nasoma the only disability in life is a bad attitude,Meskiya? Also true happiness lies,first of all in health.Sursunday


mtoto aliagizwa hela ya mlinzi na mwalimu akaenda kumweleza baba ake, baba akamjibu kamweleze mwalimu yesu ndio mlinzi mkuu aache wiziโ€ฆโ€ฆ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Hii Nairobi kama hujaact setbooks
Haujajaribu online jobs za global alliance (kwanza hii)๐Ÿ˜‚
Haujaenda mjengo๐Ÿ˜Œ
Haujafanya promotion ya nodules ama simu๐Ÿ˜ฉ๐Ÿ˜ซ

Halafu kuna ile walk ya kiadvatise pizza na kuku ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚
My friend hakuna kitu utaniambia kuhusu kuhustle๐Ÿ˜‚

Yesu angejua vile wezi wanafanyiwa mtaanj agedhubutu kuja kama mwizi