Nakumbuka Chemistry paper 1 kulikuwa na hii swali “State 3 characteristics of bromine” Sasa mimi na ujinga yangu nikaandika characteristics za Bro wa mine😁
Related Posts
chuki haiwezi kutoka chuki. Ni upendo pekee wenye uwezo huo
asiye funzwa na mamaye babake ni mwalimu
Katika maisha yako kuna kupuliza iwake na kupuliza ipoe… Lkn wengi wetu wanapokuwa wakipuliza ipoe wanajikuta wameiwasha….
Kama huna pesa punguza kitambi we are tired of respecting wrong people
Tangu nipikie wageni chai kwa sufuria ya omena , madhee hajawai kubali niingie jikoni
Form fours are like posting *”stress is over”*😂tuwaambie ukweli ama tuwaache wapumzike😂
Dame : konda hii belt haiingii Konda : paka mate iteleze 🤣🤣🤣
Hii upuzi ya unauliza dame 😂 hasubui kama ame amka anakuambia oliskia wapi kwanini why🥴