Mnakumbuka lucky dube akiimba there will be no schools anymore only prison prison mkadhani ni bangi
Related Posts
Ujinga nini? Ujinga ni pale napotoa 1 million kama mahari! Wakati aliyetoa bikra! Katulia hukoooo!
Unataka nizae mtoto afanane na ww baba ake kwan mm nna kifuko cha uzazi ama mashine ya photocopy ππ
Her:Beb ulisema utanipeleka tour? Joker smoker: Apana nilisema Twa Twaπ
Usisoee kunya peupe manyasini,utakuja donua na kuku akidhani wamutupia nyama na sima ya wimbi.
Hata uwe msafi vipi ukitaka kujamba huwezi vua nguo
Unaninyamazia unafikiria ntakumiss unashtuka nilikusahau πππππ
Kwa nini ulikubali myanyako aolewe na babu yako .naunajua wote ni wazee.umestakia kuruhusu hawa watu wawili hapa kituo cha.jongo love. Continue Reading..
*Girl;* babe leo hakuna magari nalala kwa beshte yangu nikam keshoπ *boy;* poa hun, hata monica beshte yako ako hapa Continue Reading..