Demu:babe leo bata wap??
Boy:kwani wewe unataka tukale wap???
Demu:nataka tukale kwa hotel kubwa
Boy:acha ufala leo bata kwani uja waona kwenye banda lao wanakula 😂😂😂😂😂
Sub Categories
Unapoondoka duka bila kununua chochote na unajiambia
“tenda kawaida, huna hatia”
Nimepoteza uoni kwani sion tena kitu kwenye wallet
Mungu yu mwema kwangu sijui kwako
maisha ni safari ndefu yana panda na kushuka binaadamu tuwe makini
Uko wapi we minagawa pesa sahizi
Wanaume wa Siku hizi ni vigumu kuwatambua na makalio za wanawake za kila rangi now dayz ni zilipendwa
At I. Nyanyayako amezeeka had I akipiga miayo inalia kama mlango.
tafadhali shiriki utani wako na sisi katika lugha ya swahili
Furaha usoni, maumivu noyoni.
Hii Nairobi kama hujaact setbooks
Haujajaribu online jobs za global alliance (kwanza hii)😂
Haujaenda mjengo😌
Haujafanya promotion ya nodules ama simu😩😫
Halafu kuna ile walk ya kiadvatise pizza na kuku 😅😂
My friend hakuna kitu utaniambia kuhusu kuhustle😂
Unaniita na nambari binafsi na nitazamia mimi
kuzungumza kwanza?
Nadhani tutaweza kupumzika mpaka utakapoendelea
Mwanamke mpumbavu,hubomoa Nyumba yake mweye,mwerevu hujenga
Usitake Leo iwe historia Ila acha historia Itakapofikia kuwa historia
Furaha yngu nimuonapo ana smile
Nakumbuka Chemistry paper 1 kulikuwa na hii swali “State 3 characteristics of bromine” Sasa mimi na ujinga yangu nikaandika characteristics za Bro wa mine😁