Wakati wowote mkia hautikisi ngo,
mbe,ng,ombe ndo hutikisa mkia
Loading views...
Wakati wowote mkia hautikisi ngo,
mbe,ng,ombe ndo hutikisa mkia
Loading views...
Relationship stress ekago dira o nyake seat belt ko toilet seat
Loading views...
Her:Beb ulisema utanipeleka tour?
Joker smoker: Apana nilisema Twa Twa😂
Loading views...
Unaninyamazia unafikiria ntakumiss unashtuka nilikusahau 😂😂😂💔💔
Loading views...
*After KCPE Results*
*Dad:* how’s the results
*Son:* INEOS daddy
*Dad:* whats that ??
*Son:* 159
*Dad:* whaaat??
*Son:* Kipchoge
*Dad:* You mean?
*Son:* No human is limited.
Loading views...
Na hats uwe unapenda vipi
Kumenya viungo vya mboga
Lakini huwezi kumenya pilipili
au bamia”
Loading views...
Mtu mmoja amekimbia paka sikio lake ameguza chini
Loading views...
Kwako Kuna bed switch ama unazimanga stima then unatembea hadi kwa bed Kama kipofu
Loading views...
Ucnione mdogo ukaniramba kisongo mtakubwagia zongo ukushinde muhogo
Loading views...
Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi
Panya 1: jamani mimi ni noma Wiki hii nimekula rat rat(sumu ya panya) mara tatu na sijadedi !!!
Panya 2 Wewe unasema nini, mimi nimekula nyama ikiwa
kwa mtego mara 5 nasijawahi dakwa
RAT 3 Mmemaliza? Mie hata sijui mnabishana nini? Mimi hii mimba niliyo nayo ni ya paka !!!
.
.Panya WA 1 na 2 wakazimia😆😆😆😆😆
Panya wa 3 huwa hapendi ujinga kabisa
😁😁😁😂😂😂
Loading views...
Hakuna kitu mbaya kama x wako kuku pata una tembea na Slipper’s moja ime katika umebeba mkononi
Loading views...
Yesu angejua vile wezi wanafanyiwa mtaanj agedhubutu kuja kama mwizi
Loading views...
Kuna dem aliniita home kwake akasema anataka nyama kwa nyama. Nikamwambia cna doo labda ugali kwa mayai. Bado ajatext back ni kama akona alargy ya mayai. Ebu nipe advice
Loading views...
Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Loading views...
Huku afrika ukitaka breakfast in bed,pls kalale jikoni🙃🙃 by Carlos ochieng agunda
Loading views...
Furaha usoni, maumivu noyoni.
Loading views...