Sub Categories

Hii ngozi enye Mungu alitumia kutengenezea magoti nashuku ni same na ile alitumia kutengenezea makende.
Hizi ngozi mbili zinafanana sanaโ€ฆ
waaah canโ€™t spot the difference! Men



Back in high school, I was very poor in maths during exams nilikua napata Kati ya 4% na 10%๐Ÿ™ˆ. The results used to be announced from the lowest maarks to the highest marks,, so nilikua wa kwanza ama wa pili kuitwa๐Ÿ˜‘ alafu napokea viboko kadhaa ๐Ÿ˜.
So one day the maths results were announced and my name wasnโ€™t among the first to be called ๐Ÿคœ๐Ÿค›โ€ฆso mwalimu anaendelea 30%, 40%, 50%, 60%, 70% bado jina langu halikuitwa, kila mtu kwa class akaniangalia๐Ÿ‘€,, wanauliza โ€œumepitaje huu mtihani?โ€๐Ÿ˜,nikasmile nikasema โ€ Ni mungu tuโ€ by the time alifika 80% I was already grinning in excitement. Wakati alifika 90% alikuwa amebaki na paper moja tu ๐Ÿ˜๐Ÿ™Œ,, saa mungu amejibu maombi na ndoto yangu ya kupita maths imetimia๐Ÿ™,, class mzima walishangaa na kuniangalia ๐Ÿ‘€,, finally mwalimu akaangalia juu na kusema.

โ€œOne idiot did not write his name and he scored 0%โ€. l just fainted ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Dame:beb Plic nbuyie redo ya mbao.

Boy:tumiaga hiyo ya chuma kabla walete ya mbao,

Kupenda usipende sanaaaa chukulia umempenda sana mwanamke halafu anakuwekea limbwata unafikiri utakuwa kwenye hali gani


Kama ukijua kua MTU ni watu maana MTU peke hawezi akaishi kamwe


Unapoondoka duka bila kununua chochote na unajiambia
โ€œtenda kawaida, huna hatiaโ€


Him: hae
Her:moglobin
Him: wacha hizo ww
Her:zipiโ€ฆ.unasemaje
Him:unaitwa?
Her:mzimuโ€ฆuko nalaziada
Him:Thaiโ€ฆDina
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…

Imagine umelala afternoon bcoz the previous night ulikuwa kesha. mara unasika knock kwa mlango, ukienda kufungua unagongwa kidole ya mwisho ya mguu na kitanda, kuturn kidogo unaangukia ndoo za maji yanamwangika, unatereza kwa hayo maji unaangukia tv, na wire ya stima inakupinga shock kwa mgongo. unasimama na uchovu, maumivu, hasira na hasara. kufika kwa mlango kufungua unapatana na jamaa kwa mlango anasema, โ€ Habari yako? naregister lines za Orange!โ€ utafanya? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Ujinga nini?
Ujinga ni pale napotoa 1 million kama mahari!
Wakati aliyetoa bikra! Katulia hukoooo!


Niliambiwa na mwalimu wangu wa kiswahili ya kwamba ukiona mtu na makalio kubwa ujue ni ujinga amebeba hapo soo madem tuwache maringo ukiwa umebeba haaga ,,,,,โ€hiyo ni ujinga umebebaโ€.


*Kuna cousin yangu amepata 50 out of 500. KCPE. Tunangojea alale tuhame.* Sa hii tuko maombi kwao.
Huyu amaweka family kwa kizungumkuti.

Some ladies will be there like..โ€I have inner beautyโ€ my sister, kwani wewe ni muturaโ˜น


phone yaka e wetse kara pitsa ya motepa wao fisaโ€ฆ iโ€™m worried about you guys , a LA fisa ke motepa ??

Kumbe Tumbo ndo inanyamba Matako ni Speaker tu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚