Lakini sikumuacha kwa ubaya ata wewe unaeza date dem anaita njaa maunenge 😂😂
Related Posts
Unakumbuka pale nursery ukibeba book moja na one bob kwa pocket,,history repeats itself 😂😂😂😂campus life
Tumbili zikiwa tatu bado ni tumbili au ni tutatu ? Hii kitu inanikula kichwa sana
mtoto aliagizwa hela ya mlinzi na mwalimu akaenda kumweleza baba ake, baba akamjibu kamweleze mwalimu yesu ndio mlinzi mkuu aache Continue Reading..
Imagine tufike mbinguni halafu tupate kukula cuzo haikua Dhabi!!
Hata uwe na haraka kiasi gani…,lazima matako itabaki nyuma
Yesu angejua vile wezi wanafanyiwa mtaanj agedhubutu kuja kama mwizi
Unaringa unadhani nitakuwaza……unashtukia nishakusahau
Si kampuni ya makeup i strike ndo tujue Wanaume niwangapi hii Kenya
