Sub Categories

Wasee wasee kwenyu nyinyi n wengi hadi mumepewa title

Loading views...



Kwako Kuna bed switch ama unazimanga stima then unatembea hadi kwa bed Kama kipofu

Loading views...

Uzuri wa kunyonga monkey unaweza adjust iwe tight ama mtaro!!😏
Vile unataka

Loading views...


Mko kwenye sensa mara wakala anauliza mama una g’ombe hapa na mama anaanza kukuangalia wewe

Loading views...

akil ni nyele kila mtu ana zake

Loading views...


Nakumbuka Chemistry paper 1 kulikuwa na hii swali “State 3 characteristics of bromine” Sasa mimi na ujinga yangu nikaandika characteristics za Bro wa mine😁

Loading views...


Hii Nairobi kama hujaact setbooks
Haujajaribu online jobs za global alliance (kwanza hii)😂
Haujaenda mjengo😌
Haujafanya promotion ya nodules ama simu😩😫

Halafu kuna ile walk ya kiadvatise pizza na kuku 😅😂
My friend hakuna kitu utaniambia kuhusu kuhustle😂

Loading views...

karibu kenya place unabuy maziwa imelala 35 while fresh 20 bob

Loading views...


Katika maisha yako kuna kupuliza iwake na kupuliza ipoe…
Lkn wengi wetu wanapokuwa wakipuliza ipoe wanajikuta wameiwasha….

Loading views...


Mapenzi. Xi naguvu ni wamusi wako na mimi pamoja. Na roho yako

Loading views...

Lakini sikumuacha kwa ubaya ata wewe unaeza date dem anaita njaa maunenge 😂😂

Loading views...


Ati wakaba wana peda maji adi wakiabiwa
i love you wanasema water suprise

Loading views...

Wakikuyu ni wasafi hati wawesi chafuwa meza kwa clap

Loading views...