Sub Categories

Ati nyinyi ni wengi hadi mama anapiga chapo moja alafu zingine zinawekwa photocopy

Loading views...



*Kuna cousin yangu amepata 50 out of 500. KCPE. Tunangojea alale tuhame.* Sa hii tuko maombi kwao.
Huyu amaweka family kwa kizungumkuti.

Loading views...

Bak in skull ukiwa Dom….
we Zima stima tulale unaskia wazimu mwngne ukilala class ulkuwa umezima stima

Loading views...


MSHINDI kwa damu ya Yesu.kila Aaminiye na kubatizwa ameokoka.

Loading views...


Nimepoteza uoni kwani sion tena kitu kwenye wallet

Loading views...


Titi taaa tete kumilife is short so smile
whole still hve a chance to do so

Loading views...

asiye funzwa na mamaye babake ni mwalimu

Loading views...


Uzuri wa kunyonga monkey unaweza adjust iwe tight ama mtaro!!😏
Vile unataka

Loading views...


Ety demu kwakwmbia uwende kwao kwakuwa mama yake ayupo,
kumbe nao ni ushezi

Loading views...


Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Loading views...

Umezoea Kukula mogoka hadi unaogopa kumeza mboga

Loading views...