Ati nyinyi ni wengi hadi mama anapiga chapo moja alafu zingine zinawekwa photocopy
Loading views...
Ati nyinyi ni wengi hadi mama anapiga chapo moja alafu zingine zinawekwa photocopy
Loading views...
Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika
Loading views...
*Kuna cousin yangu amepata 50 out of 500. KCPE. Tunangojea alale tuhame.* Sa hii tuko maombi kwao.
Huyu amaweka family kwa kizungumkuti.
Loading views...
Bak in skull ukiwa Dom….
we Zima stima tulale unaskia wazimu mwngne ukilala class ulkuwa umezima stima
Loading views...
Dame : konda hii belt haiingii
Konda : paka mate iteleze
Loading views...
MSHINDI kwa damu ya Yesu.kila Aaminiye na kubatizwa ameokoka.
Loading views...
Nimepoteza uoni kwani sion tena kitu kwenye wallet
Loading views...
Titi taaa tete kumilife is short so smile
whole still hve a chance to do so
Loading views...
Mpende akupendae, asiye kupenda mlazimishe akikataa mroge
Loading views...
asiye funzwa na mamaye babake ni mwalimu
Loading views...
Uzuri wa kunyonga monkey unaweza adjust iwe tight ama mtaro!!
Vile unataka
Loading views...
Juz kadem nilikatext kakaniuliza nimepata wapi no yake nikakaambia nimepew offer ya namba yake na safcom
Loading views...
Ety demu kwakwmbia uwende kwao kwakuwa mama yake ayupo,
kumbe nao ni ushezi
Loading views...
Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!
Loading views...
naangalia maisha yangu siangalii mtu but nawapenda wote
Loading views...
Umezoea Kukula mogoka hadi unaogopa kumeza mboga
Loading views...