Sub Categories

Msichana mrembo lakini akinyamba
Maiti Inageuza kichwa🤣🤣🤣🤣🤣

Loading views...



To our sisters leo want to ask you this question hivi…..

“what would you do if you start arguing with your man and he starts crying”

Sisi tuko hapa to see the comments and kuchangia where we have too

Loading views...

Corona ilifanya poa ku kam 2020.
Ingekam kitu 2006..
Tungekaa tu indoors na nokia 1110..tukicheza game ya manyoka..hakuna selfles ata

Loading views...

Ukiona dem wako amekuja Kwako alaf sm yake kaweka flight mode

Ujue uyo mwanamke Anakupenda Sana ataki Usumbufu Anapokuwa Na wew

Loading views...


Ati dem wako anaforce issue kaa msee wa curfew😂😂😂

Loading views...


*🤣🤣🤣 uzuri wa mtaro🥥 ni eti ukimwaga💦 ndani kwa makosa na anze kulia unaweza ingiza kikombe☕ na uchote….🤣🤣🤣

Loading views...


In your last relationship, ulikuwa impeached, ulistep down ama uliangushwa na external forces?

Loading views...

Unakumbuka pale nursery ukibeba book moja na one bob kwa pocket,,history repeats itself 😂😂😂😂campus life

Loading views...

Ati wakaba wana peda maji adi wakiabiwa
i love you wanasema water suprise

Loading views...


nimekumbuka mitochondrion nikasahau pin ya mpesa😲🤣😋😋😋🤔😁

Loading views...


Kuna mtu huku ndani hananga kazi.. Yeye hushinda kuitisha pics za watu then ako zile za… Wow, nice, cute, sexy. . 😂

Loading views...


KARUMAINDO BAR NOTCE in Nyeri.
1. Ukifanya ornder, unaturia, usichide umekubucha kubucha waiter, yeye ni mutu msima anakubuka.
2. Ukirewo urewe peke yako, usianse kuiba nyibo sa Kigooco huku. Ukitaka kuiba eda clusade.
3. Huku hakuna dancing froor. Kwa hifo usika dance huku, hii ni bar, sio carnivorous(Carnivore)
4. Urinal siko. Kukonjoa ni sawa. Ukitaka hanja kumbwa, marisa fobe yako uede ukakumie kwako. Huku hakuna shoo. Tunauzaga fobe si Ugari.
5. Kufugia waiter jisho uwashe. Unamfugia jisho kwani umeskia ni daktali wa masho.
6. Ukinunuria waiter fobe, sio kumaanicha ati utaeda na yeye kwako. Ako hapa kuusa fobe, sio kuusa mwiri, mununurie na uthie ukiumaga
7. Usikamwaga mwage fobe kwa mesa,, tumekataa! Urinunua ukunywe ama umwage, tumia kogocity!
8. Huku hakuna Maraya. Ukitaka maraya kunja na wako, na akuwe maraya anaereweka tafathari sio chula inakaa mutura bishi
9. Wakati Mike Lua ama Salim Junia anaiba, tafathari uskakaibaniche na yeye. NYAMASA tulii,, watu warikunja kusikisa Lua, sio wewe. Ukitaka kuiba, tuabie tukutafutie Saturnday yako.
10. Kuchika chika waiter matako ni hatia! Chika matako yako, huku si bedloom.
11. Maneno ya CORND na JUBIREE perekeni Fesbuk. Sio hapa!!!Laila sio Waiter hapa
12. Kuwekewo mchere kwa fobe si kitu kumbwa, ukiwekew, unaitoa na unaederea na Fobe yako kama kawaida.wegine wamechawai wekewo mahidi na wanasurfife tu
13. HAKUNA kurara kwa Mesa! Mesa sio kitada. Kama umerewo, eda ukarare kwako.
14. Ukiibiwo pesa eda ukastaki kwa borithi, usikakunje kusubua Manager.
15. Tip ni rasma! Kama besa yako haitochi ya tip, rasima birr irete chinda ama ununue fobe take away ukakunywie kwako.
16. Huku hakuna bouncer! Rakini ukireta nyokonyoko tutakunyorocha kama Mukola.
17. Usikatapike huku. Hii ni Bar, sio Crinic ya watoto. Unatapika kwani uko na Miba??chidwo!!
By MANANGEMEN

Loading views...

Mbaullah anavituko sana anapenda kuwa mkweli hapendagi uwongo hivyo ndivyo vituko vyake

Loading views...

Unalia nkikataa kupic call yako na umepiga mara moja tu,
ni mara ngapi yesu amekuita na ukakataa.?

Loading views...