Sub Categories

Ukila raha andaa tumbo la kula shida
Ipo siku swala atamla simba

Loading views...



Unaninyamazia unafikiria ntakumiss unashtuka nilikusahau 😂😂😂💔💔

Loading views...

Kama nilikuudhi mwaka huu , kumbuka mwakani ni palepale sikufugi😂😂

Loading views...

Madem wengi kasi ya n ya kufilter picha wapost kwa status na hawakumbuki lika yao inaelekeakumalisha ulezi

Loading views...


Mnakumbuka lucky dube akiimba there will be no schools anymore only prison prison mkadhani ni bangi

Loading views...

Kama ukijua kua MTU ni watu maana MTU peke hawezi akaishi kamwe

Loading views...


Munakumbuka lucky dube akiimba,there will be no schools anymore mukadhania ni banging

Loading views...


Ao Khape Blesser Ge A Fithla Gate’ng Ya Ko Geno A Re
“Jbanh O Ngwana Wa Mbali?

Loading views...

Kumbe Tumbo ndo inanyamba Matako ni Speaker tu 😂😂

Loading views...


At I. Nyanyayako amezeeka had I akipiga miayo inalia kama mlango.

Loading views...


Kupata picha kali kali za madada wa kike ambao watanifurahixha nataka kujiunga na group

Loading views...


Back in high school, I was very poor in maths during exams nilikua napata Kati ya 4% na 10%🙈. The results used to be announced from the lowest maarks to the highest marks,, so nilikua wa kwanza ama wa pili kuitwa😑 alafu napokea viboko kadhaa 😏.
So one day the maths results were announced and my name wasn’t among the first to be called 🤜🤛…so mwalimu anaendelea 30%, 40%, 50%, 60%, 70% bado jina langu halikuitwa, kila mtu kwa class akaniangalia👀,, wanauliza “umepitaje huu mtihani?”😝,nikasmile nikasema ” Ni mungu tu” by the time alifika 80% I was already grinning in excitement. Wakati alifika 90% alikuwa amebaki na paper moja tu 😁🙌,, saa mungu amejibu maombi na ndoto yangu ya kupita maths imetimia🙏,, class mzima walishangaa na kuniangalia 👀,, finally mwalimu akaangalia juu na kusema.

“One idiot did not write his name and he scored 0%”. l just fainted 😂😂

Loading views...

Hata uwe na haraka kiasi gani…,lazima matako itabaki nyuma

Loading views...