Siasa ni kama ndoa,
ikuvunjika wengi ulia sana
Loading views...
Siasa ni kama ndoa,
ikuvunjika wengi ulia sana
Loading views...
Hii ngozi enye Mungu alitumia kutengenezea magoti nashuku ni same na ile alitumia kutengenezea makende.
Hizi ngozi mbili zinafanana sana…
waaah can’t spot the difference! Men
Loading views...
Ati dem wako anaforce issue kaa msee wa curfew😂😂😂
Loading views...
Yesu angejua vile wezi wanafanyiwa mtaanj agedhubutu kuja kama mwizi
Loading views...
Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Loading views...
Ujinga nini?
Ujinga ni pale napotoa 1 million kama mahari!
Wakati aliyetoa bikra! Katulia hukoooo!
Loading views...
nimeiba kipimo cha mimba hosiptli nkajuwa ni flashi
🤣🤣🤣🤣🤣
Loading views...
Fuck maze, ile time umejipata maudenki zimekukaza then kufika kwa choo unapata kuna ninja ili kunia juu bt kulingana navile umekazwa inabidi uingine,,, then ukiwa ndani kimsee kinakam afu kinaamua kungoja utoke… Coz hauwezi taka aone hio shonde asikushuku ww unamua kutumia gazeti yako kupanguza hio shonde we unabaki hivyo
Loading views...
Ukila raha andaa tumbo la kula shida
Ipo siku swala atamla simba
Loading views...
Mko kwenye sensa mara wakala anauliza mama una g’ombe hapa na mama anaanza kukuangalia wewe
Loading views...
Unakumbuka pale nursery ukibeba book moja na one bob kwa pocket,,history repeats itself 😂😂😂😂campus life
Loading views...
Unakumbuka ukianza insha na….
Katika Kijiji kimoja paliondokea mtu mmoja masikini hoehae…
Ona sahii we ndio huyo masikini😂😂😂
*What goes around comes around😏
Loading views...
phone yaka e wetse kara pitsa ya motepa wao fisa… i’m worried about you guys , a LA fisa ke motepa ??
Loading views...
Wakati wowote mkia hautikisi ngo,
mbe,ng,ombe ndo hutikisa mkia
Loading views...
Msichana mmoja alimpeleka mchumba wake kwao kumtambulisha kwa wazazi wake.
Alipofika tu baba yake akagundua dosari maana mvulana alikuwa mweusi tii ana matege makali na makengeza ya maana!!
Jamaa alipo ona sura ya baba mkwe wake imebadilika ikabidi atabasamu kiasi.
Lahaula! Alikuwa na mapengo hana meno yote ya mbele!
Baba akaamua amuite binti yake:
Baba:”Mwanangu hebu twende nje tuongee.”
Binti:”Baba sema hapahapa tu mchumba wangu ni kiziwi.”
.
.
Baba mtu akazimia!!
Loading views...
Kumbe Tumbo ndo inanyamba Matako ni Speaker tu 😂😂
Loading views...