MSHINDI kwa damu ya Yesu.kila Aaminiye na kubatizwa ameokoka.
Furaha usoni, maumivu noyoni.
Mwanamke mpumbavu,hubomoa Nyumba yake mweye,mwerevu hujenga
Usitake Leo iwe historia Ila acha historia Itakapofikia kuwa historia
At I. Nyanyayako amezeeka had I akipiga miayo inalia kama mlango.
Ucnione mdogo ukaniramba kisongo mtakubwagia zongo ukushinde muhogo
Kama ukijua kua MTU ni watu maana MTU peke hawezi akaishi kamwe
Akuna kitu tamu kama kupendwa na wazazi wako
tafadhali shiriki utani wako na sisi katika lugha ya swahili
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *