Sub Categories

Niliambia caro nataka mtoto akanijibu uterus haiendi mahali nitafute pesa kwanza

Loading views...



Hanna kitu kibay kam kusengenyana na mamb mazuri ni kama urafiki

Loading views...

Jacaylka midopa cidi ku mashqusha maxkamada halla saaro

Loading views...


Tumbili zikiwa tatu bado ni tumbili au ni tutatu ?
Hii kitu inanikula kichwa sana

Loading views...

Akuna kitu tamu kama kupendwa na wazazi wako

Loading views...


Why fire kempinski staff for doing it we all do it, the riskier the place the better. They didn’t tell cameras to watch..

Loading views...


Mungu wetu ni wa heri kwa wote asuh naiona nyepesi japo mfukoni nina shiling hamsin chanji iliyo baki ya vitumbua jana. Naish vp chana akil inaitijika

Loading views...

Kama Adam na Eva walikula 🍎 apple kishe nimagum hivi je wangukula pilipili kichaaaa?

Loading views...


Back in high school, I was very poor in maths during exams nilikua napata Kati ya 4% na 10%🙈. The results used to be announced from the lowest maarks to the highest marks,, so nilikua wa kwanza ama wa pili kuitwa😑 alafu napokea viboko kadhaa 😏.
So one day the maths results were announced and my name wasn’t among the first to be called 🤜🤛…so mwalimu anaendelea 30%, 40%, 50%, 60%, 70% bado jina langu halikuitwa, kila mtu kwa class akaniangalia👀,, wanauliza “umepitaje huu mtihani?”😝,nikasmile nikasema ” Ni mungu tu” by the time alifika 80% I was already grinning in excitement. Wakati alifika 90% alikuwa amebaki na paper moja tu 😁🙌,, saa mungu amejibu maombi na ndoto yangu ya kupita maths imetimia🙏,, class mzima walishangaa na kuniangalia 👀,, finally mwalimu akaangalia juu na kusema.

“One idiot did not write his name and he scored 0%”. l just fainted 😂😂

Loading views...


Ati wakaba wana peda maji adi wakiabiwa
i love you wanasema water suprise

Loading views...

ushawai kula kitu tamu hadi ukikumbuka unaanza kulamba vidole??

Mimi cjawai ?😂

Loading views...


Imagine tufike mbinguni halafu tupate kukula cuzo haikua Dhabi!!

Loading views...

Unataka nizae mtoto afanane na ww baba ake kwan mm nna kifuko cha uzazi ama mashine ya photocopy 😜😜

Loading views...