Sub Categories

Kuna day tulienda na alkey kwa supper 😜😜

Loading views...



Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!

Loading views...

Hata uwe na haraka kiasi gani…,lazima matako itabaki nyuma

Loading views...


MSHINDI kwa damu ya Yesu.kila Aaminiye na kubatizwa ameokoka.

Loading views...


Dame:Babe nko na ball
Boyie:leta tucheze futa atleast tufanye maexercise
Dame:si ivo😊nko nimebemba
Boyie:Nini tena?… Umechoka nikusaidaie…
Dame:Nkt😅acha kujifanya huelewi
Boyie:Bydah nani alikubuyia..??na mbona hukunxhw nikubuyie?… Dats means unancheza…. Wacha tu tuachane peacefuly…
Dame:Aky babe namaanxha nko pregnant….
Boyie:Ulitoa wapi😱🙊
Dame:Ni yako🙈🙈🙈🙈
Boyie:💃👋👋👋👋👍👍👍👍👍👏👏nlitaka ivo coz uliwa unaniringia… RINGA SASA TUONE
Dame:sawa tu….🙈🙊🙊🙊🙈🙈🙈😅😅😢😢😱😱😱😱😱??????
Boyie:Naga nima ndukoragwa na mutwe mwega
Dame:Onawe thii okiomaga

Loading views...


Wanaume wa Siku hizi ni vigumu kuwatambua na makalio za wanawake za kila rangi now dayz ni zilipendwa

Loading views...

Si kampuni ya makeup i strike ndo tujue Wanaume niwangapi hii Kenya

Loading views...

Ati nyinyi ni wengi hadi mama anapiga chapo moja alafu zingine zinawekwa photocopy

Loading views...


Mpende akupendae, asiye kupenda mlazimishe akikataa mroge

Loading views...


My future wife si uje ama nifungue butchery na hizi ngombe za dowry

Loading views...


I hope my book of life ingeandikwa na kalamu ya mate kuna ka place nafaa kuvuta

Loading views...

Do not let any one to know. Am telling u a big secret.
It is only between us okay. Ati nimeskia kama Kenya iko Africa ??ni kweli ama??🤣🤣🤣🤣

Loading views...