Sub Categories

To our sisters leo want to ask you this question hivi…..

“what would you do if you start arguing with your man and he starts crying”

Sisi tuko hapa to see the comments and kuchangia where we have too

Loading views...



Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Loading views...

Opening of schools before bars shows government respects children more than the elderly🙉 wakati wa kura watafute hao watoto wawapigie🤪 hatupendi ujinga

Loading views...

Unakumbuka pale nursery ukibeba book moja na one bob kwa pocket,,history repeats itself 😂😂😂😂campus life

Loading views...


Lakini si mtu akibuy laini ya Airtel anafaa kupewa na jacket ya kuprevent baridi wakati anatafuta network

Loading views...

Kupata picha kali kali za madada wa kike ambao watanifurahixha nataka kujiunga na group

Loading views...


Ushahi argue na mutu alafu anakushow
Sasa unataka kulia 😂😂😂😂😂😥💔
Walai hio kitu hainaga cameback

Loading views...


Eti ooh nataka mwanaume wa kunilinda na ukitongozwa na mlinzi unakataa!?

Loading views...

asiye funzwa na mamaye babake ni mwalimu

Loading views...


Ujinga nini?
Ujinga ni pale napotoa 1 million kama mahari!
Wakati aliyetoa bikra! Katulia hukoooo!

Loading views...


Sio sigara tu hata ukiwa na mwanamke msumbufu ni hatari kwa afya yako

Loading views...


Hii Nairobi kama hujaact setbooks
Haujajaribu online jobs za global alliance (kwanza hii)😂
Haujaenda mjengo😌
Haujafanya promotion ya nodules ama simu😩😫

Halafu kuna ile walk ya kiadvatise pizza na kuku 😅😂
My friend hakuna kitu utaniambia kuhusu kuhustle😂

Loading views...

Usisoee kunya peupe manyasini,utakuja donua na kuku akidhani wamutupia nyama na sima ya wimbi.

Loading views...

Nilidhani usafi ni taulo kumbe sivyo hivyo

Loading views...