To our sisters leo want to ask you this question hivi…..
“what would you do if you start arguing with your man and he starts crying”
Sisi tuko hapa to see the comments and kuchangia where we have too
Loading views...
To our sisters leo want to ask you this question hivi…..
“what would you do if you start arguing with your man and he starts crying”
Sisi tuko hapa to see the comments and kuchangia where we have too
Loading views...
Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!
Loading views...
Opening of schools before bars shows government respects children more than the elderly wakati wa kura watafute hao watoto wawapigie
hatupendi ujinga
Loading views...
Unakumbuka pale nursery ukibeba book moja na one bob kwa pocket,,history repeats itself campus life
Loading views...
Lakini si mtu akibuy laini ya Airtel anafaa kupewa na jacket ya kuprevent baridi wakati anatafuta network
Loading views...
Kupata picha kali kali za madada wa kike ambao watanifurahixha nataka kujiunga na group
–
Loading views...
Ushahi argue na mutu alafu anakushow
Sasa unataka kulia
Walai hio kitu hainaga cameback
Loading views...
Eti ooh nataka mwanaume wa kunilinda na ukitongozwa na mlinzi unakataa!?
Loading views...
Siasa ni kama ndoa,
ikuvunjika wengi ulia sana
Loading views...
asiye funzwa na mamaye babake ni mwalimu
Loading views...
Ujinga nini?
Ujinga ni pale napotoa 1 million kama mahari!
Wakati aliyetoa bikra! Katulia hukoooo!
Loading views...
Oyaa oyaa m uneza niita kwako ama mbogi ya xhivakala
Loading views...
Sio sigara tu hata ukiwa na mwanamke msumbufu ni hatari kwa afya yako
Loading views...
Hii Nairobi kama hujaact setbooks
Haujajaribu online jobs za global alliance (kwanza hii)
Haujaenda mjengo
Haujafanya promotion ya nodules ama simu
Halafu kuna ile walk ya kiadvatise pizza na kuku
My friend hakuna kitu utaniambia kuhusu kuhustle
Loading views...
Usisoee kunya peupe manyasini,utakuja donua na kuku akidhani wamutupia nyama na sima ya wimbi.
Loading views...
Nilidhani usafi ni taulo kumbe sivyo hivyo
Loading views...