Ati dem wako anaforce issue kaa msee wa curfew😂😂😂
Related Posts
ushawai kula kitu tamu hadi ukikumbuka unaanza kulamba vidole?? Mimi cjawai ?😂
Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika
Bak in skull ukiwa Dom…. we Zima stima tulale unaskia wazimu mwngne ukilala class ulkuwa umezima stima
Kuna day tulienda na alkey kwa supper 😜😜
Kuna dem ameniuliza WHERE DID WE FIRST MEET?? Sijui nimkumbushe ile day chali yake aliniomba keja juu mm nilikuwa yule Continue Reading..
Unakumbuka ukianza insha na…. Katika Kijiji kimoja paliondokea mtu mmoja masikini hoehae… Ona sahii we ndio huyo masikini😂😂😂 *What goes Continue Reading..
Kuishi nyumbani na mwanaume asiyekuwa na pesa ni sawa na kuishi na feniture ndani ya nyumba
Na hats uwe unapenda vipi Kumenya viungo vya mboga Lakini huwezi kumenya pilipili au bamia”