Hata uwe na haraka kiasi gani…,lazima matako itabaki nyuma
nimekumbuka mitochondrion nikasahau pin ya mpesa😲🤣😋😋😋🤔😁
Unaninyamazia unafikiria ntakumiss unashtuka nilikusahau 😂😂😂💔💔
Msichana mrembo lakini akinyamba Maiti Inageuza kichwa🤣🤣🤣🤣🤣
Kama nilikuudhi mwaka huu , kumbuka mwakani ni palepale sikufugi😂😂
Hanna kitu kibay kam kusengenyana na mamb mazuri ni kama urafiki
Cjai ona ugonjwa mbaya kma ujinga aina tiba Tina ni kibao
Mdomo not kubwa..chapati waikunjia nini?
asiye funzwa na mamaye babake ni mwalimu
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *