Sub Categories

Hata uwe na haraka kiasi gani…,lazima matako itabaki nyuma

Loading views...



*Siyo Lazima Mpenzi wako Akija Mfanye Mapenzi…Kamtembeze Ata Makaburini Umwonyeshe Utakapo Mzika Siku Atacheza Na Hisia Zako

Loading views...

When she’s hot as fuck but flopo eore a nkga legano 😒😒 you’ll end up saying things like “etlwa colgate ye enale swikiri ye nchi bjang”.. before you kiss her

Loading views...

Umezoea Kukula mogoka hadi unaogopa kumeza mboga

Loading views...


Kombowa wakati usilale hamka usilemahe
Ufalume wa mbinguni hupatikana kwabiddi sana usihishi bila kukosa lengo mahishani mwako

Loading views...

Hii Nairobi kama hujaact setbooks
Haujajaribu online jobs za global alliance (kwanza hii)😂
Haujaenda mjengo😌
Haujafanya promotion ya nodules ama simu😩😫

Halafu kuna ile walk ya kiadvatise pizza na kuku 😅😂
My friend hakuna kitu utaniambia kuhusu kuhustle😂

Loading views...


em wangu aliniambia ka ninataka Mapenzi nitumia number Bluutooth

Loading views...


In your last relationship, ulikuwa impeached, ulistep down ama uliangushwa na external forces?

Loading views...

*Girl;* babe leo hakuna magari nalala kwa beshte yangu nikam kesho🙂

*boy;* poa hun, hata monica beshte yako ako hapa akuna gari anadoz akungoje ukam kesho🤓
*Girl;* 😳bby kuna gari nimeona hapa ya takataka acha nione ka itanibeba

😆😆😅😅😂😂🤣🤣🤣🤣🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽

Loading views...


Yanga yeti inapiga moja moja kama mgonjwa wa kisukali asanteni simba kwa kurejedha heshima ya wanaume

Loading views...


*After KCPE Results*

*Dad:* how’s the results

*Son:* INEOS daddy

*Dad:* whats that ??

*Son:* 159

*Dad:* whaaat??
*Son:* Kipchoge
*Dad:* You mean?
*Son:* No human is limited.

Loading views...

Imagine umelala afternoon bcoz the previous night ulikuwa kesha. mara unasika knock kwa mlango, ukienda kufungua unagongwa kidole ya mwisho ya mguu na kitanda, kuturn kidogo unaangukia ndoo za maji yanamwangika, unatereza kwa hayo maji unaangukia tv, na wire ya stima inakupinga shock kwa mgongo. unasimama na uchovu, maumivu, hasira na hasara. kufika kwa mlango kufungua unapatana na jamaa kwa mlango anasema, ” Habari yako? naregister lines za Orange!” utafanya? 😂😂

Loading views...


KARUMAINDO BAR NOTCE in Nyeri.
1. Ukifanya ornder, unaturia, usichide umekubucha kubucha waiter, yeye ni mutu msima anakubuka.
2. Ukirewo urewe peke yako, usianse kuiba nyibo sa Kigooco huku. Ukitaka kuiba eda clusade.
3. Huku hakuna dancing froor. Kwa hifo usika dance huku, hii ni bar, sio carnivorous(Carnivore)
4. Urinal siko. Kukonjoa ni sawa. Ukitaka hanja kumbwa, marisa fobe yako uede ukakumie kwako. Huku hakuna shoo. Tunauzaga fobe si Ugari.
5. Kufugia waiter jisho uwashe. Unamfugia jisho kwani umeskia ni daktali wa masho.
6. Ukinunuria waiter fobe, sio kumaanicha ati utaeda na yeye kwako. Ako hapa kuusa fobe, sio kuusa mwiri, mununurie na uthie ukiumaga
7. Usikamwaga mwage fobe kwa mesa,, tumekataa! Urinunua ukunywe ama umwage, tumia kogocity!
8. Huku hakuna Maraya. Ukitaka maraya kunja na wako, na akuwe maraya anaereweka tafathari sio chula inakaa mutura bishi
9. Wakati Mike Lua ama Salim Junia anaiba, tafathari uskakaibaniche na yeye. NYAMASA tulii,, watu warikunja kusikisa Lua, sio wewe. Ukitaka kuiba, tuabie tukutafutie Saturnday yako.
10. Kuchika chika waiter matako ni hatia! Chika matako yako, huku si bedloom.
11. Maneno ya CORND na JUBIREE perekeni Fesbuk. Sio hapa!!!Laila sio Waiter hapa
12. Kuwekewo mchere kwa fobe si kitu kumbwa, ukiwekew, unaitoa na unaederea na Fobe yako kama kawaida.wegine wamechawai wekewo mahidi na wanasurfife tu
13. HAKUNA kurara kwa Mesa! Mesa sio kitada. Kama umerewo, eda ukarare kwako.
14. Ukiibiwo pesa eda ukastaki kwa borithi, usikakunje kusubua Manager.
15. Tip ni rasma! Kama besa yako haitochi ya tip, rasima birr irete chinda ama ununue fobe take away ukakunywie kwako.
16. Huku hakuna bouncer! Rakini ukireta nyokonyoko tutakunyorocha kama Mukola.
17. Usikatapike huku. Hii ni Bar, sio Crinic ya watoto. Unatapika kwani uko na Miba??chidwo!!
By MANANGEMEN

Loading views...

Unakumbuka ukianza insha na….
Katika Kijiji kimoja paliondokea mtu mmoja masikini hoehae…

Ona sahii we ndio huyo masikini😂😂😂
*What goes around comes around😏

Loading views...

naangalia maisha yangu siangalii mtu but nawapenda wote

Loading views...