Oyaa oyaa m uneza niita kwako ama mbogi ya xhivakala
Loading views...
Oyaa oyaa m uneza niita kwako ama mbogi ya xhivakala
Loading views...
Endelea kiwaita sleepover ile siku dem atakufia kwako sijui utafanya aje!
Loading views...
Wakikuyu ni wasafi hati wawesi chafuwa meza kwa clap
Loading views...
penda anae kupenda asiye kupenda achana nae
Loading views...
To our sisters leo want to ask you this question hivi…..
“what would you do if you start arguing with your man and he starts crying”
Sisi tuko hapa to see the comments and kuchangia where we have too
Loading views...
Sometimes I really wonder,
tulikiwa tunasoma kunyume ya nini ?
Loading views...
*Siyo Lazima Mpenzi wako Akija Mfanye Mapenzi…Kamtembeze Ata Makaburini Umwonyeshe Utakapo Mzika Siku Atacheza Na Hisia Zako
Loading views...
Ati dem wako anaforce issue kaa msee wa curfew😂😂😂
Loading views...
Tumbili zikiwa tatu bado ni tumbili au ni tutatu ?
Hii kitu inanikula kichwa sana
Loading views...
Mpende akupendae, asiye kupenda mlazimishe akikataa mroge
Loading views...
Madem wengi kasi ya n ya kufilter picha wapost kwa status na hawakumbuki lika yao inaelekeakumalisha ulezi
Loading views...
Wakati wowote mkia hautikisi ngo,
mbe,ng,ombe ndo hutikisa mkia
Loading views...
Hata uwe na haraka kiasi gani…,lazima matako itabaki nyuma
Loading views...
Kupenda usipende sanaaaa chukulia umempenda sana mwanamke halafu anakuwekea limbwata unafikiri utakuwa kwenye hali gani
Loading views...
Niliambia caro nataka mtoto akanijibu uterus haiendi mahali nitafute pesa kwanza
Loading views...
Ucnione mdogo ukaniramba kisongo mtakubwagia zongo ukushinde muhogo
Loading views...