Ata ukiskia hawa watoto wa shule wamewekwa mimba sijui ngapi ,hii kitu Kuna mahali inafikanga inakosa break
Loading views...
Ata ukiskia hawa watoto wa shule wamewekwa mimba sijui ngapi ,hii kitu Kuna mahali inafikanga inakosa break
Loading views...
Hakuna kitu mbaya kama x wako kuku pata una tembea na Slipper’s moja ime katika umebeba mkononi
Loading views...
Kama nilikuudhi mwaka huu , kumbuka mwakani ni palepale sikufugi
Loading views...
Yesu angejua vile wezi wanafanyiwa mtaanj agedhubutu kuja kama mwizi
Loading views...
Kwako Kuna bed switch ama unazimanga stima then unatembea hadi kwa bed Kama kipofu
Loading views...
Unaniita na nambari binafsi na nitazamia mimi
kuzungumza kwanza?
Nadhani tutaweza kupumzika mpaka utakapoendelea
Loading views...
Kama anaringa sana usishinde ukijisumbua tuone kama atajikula
Loading views...
Kupenda usipende sanaaaa chukulia umempenda sana mwanamke halafu anakuwekea limbwata unafikiri utakuwa kwenye hali gani
Loading views...
Pesa kidogo tu ukiongea unasema I mean si useme tu unamaanisha tutakuelewa mabaharia
Loading views...
Madem wa siku izi wamekuwa kaa karao.mnakutana tao then next week uko ndaniif you know you know
Loading views...
Niliambia caro nataka mtoto akanijibu uterus haiendi mahali nitafute pesa kwanza
Loading views...
Wanaume wa Siku hizi ni vigumu kuwatambua na makalio za wanawake za kila rangi now dayz ni zilipendwa
Loading views...
Nakumbuka Chemistry paper 1 kulikuwa na hii swali “State 3 characteristics of bromine” Sasa mimi na ujinga yangu nikaandika characteristics za Bro wa mine
Loading views...
Ao Khape Blesser Ge A Fithla Gate’ng Ya Ko Geno A Re
“Jbanh O Ngwana Wa Mbali?
Loading views...
Msichana mrembo lakini akinyamba
Maiti Inageuza kichwa
Loading views...
Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!
Loading views...