Wasee wasee kwenu watu ni wengi hadi ikifika saa ya chakula unaitwa na Register
Loading views...
Wasee wasee kwenu watu ni wengi hadi ikifika saa ya chakula unaitwa na Register
Loading views...
To our sisters leo want to ask you this question hivi…..
“what would you do if you start arguing with your man and he starts crying”
Sisi tuko hapa to see the comments and kuchangia where we have too😂😂😂
Loading views...
Wale mlikuwa mnasema 2020 is your financial year ebu mkujie mwaka yenu na sitafadhali 🤣🤣
Loading views...
Dame : konda hii belt haiingii
Konda : paka mate iteleze 🤣🤣🤣
Loading views...
Uko wapi we minagawa pesa sahizi
Loading views...
Corona ilifanya poa ku kam 2020.
Ingekam kitu 2006..
Tungekaa tu indoors na nokia 1110..tukicheza game ya manyoka..hakuna selfles ata
Loading views...
Eti ooh nataka mwanaume wa kunilinda na ukitongozwa na mlinzi unakataa!?
Loading views...
In every man’s life kunakuaga na dem kila mtu huassume mshakulana na hamjawai 😌
Alafu kunakuaga na dem mshakulana lakini huezi ambia watu mshaikulana 😭
Alafu kuna dem ukiambia watu mshaikulana hawaamini 🌝
Alafu kuna dem mnakulananga lakini nyinyi wote hamuezi ambia watu coz mtastopisha reggae. 😂😂😂😂😂
Loading views...
nimeiba kipimo cha mimba hosiptli nkajuwa ni flashi
🤣🤣🤣🤣🤣
Loading views...
Akuna kitu tamu kama kupendwa na wazazi wako
Loading views...
Unakumbuka pale nursery ukibeba book moja na one bob kwa pocket,,history repeats itself 😂😂😂😂campus life
Loading views...
Kuishi nyumbani na mwanaume asiyekuwa na pesa ni sawa na kuishi na feniture ndani ya nyumba
Loading views...
Titi taaa tete kumilife is short so smile
whole still hve a chance to do so
Loading views...
Today a preacher in a public bus started preaching… “Leo nataka kuwasomea barua ya Paulo kwa Warumi”
A drunk man at the back asked him… “Kwa nini utusomee na sisi sio Warumi… Na kwanza nani amekwambia ufungue barua ya wenyewe???”
Loading views...
Nimepoteza uoni kwani sion tena kitu kwenye wallet
Loading views...
Katika maisha yako kuna kupuliza iwake na kupuliza ipoe…
Lkn wengi wetu wanapokuwa wakipuliza ipoe wanajikuta wameiwasha….
Loading views...