Dame:beb Plic nbuyie redo ya mbao.
Boy:tumiaga hiyo ya chuma kabla walete ya mbao,
Loading views...
Dame:beb Plic nbuyie redo ya mbao.
Boy:tumiaga hiyo ya chuma kabla walete ya mbao,
Loading views...
Mapenzi yanaweza kukupa stress hadi mama ako akikuuliza what is wrong. …… unaeza mjibu Mama we bado mdogo huezi elewa
Loading views...
MIMI KAMA SIMU YAKO
Nataka uniheshimu.Sipendi ukiniweka kila saa kwa vibrate mode,alafu usiniweke kwa mfuko wako wa nyuma…ukinyamba wataka nifeel aje? Alafu ukiamka asubuhi plz brush mdomo kabla unitumie…wewe huwaga unanuka mdomo ni vile sitaki kukuambia! Then kuna ile siku uliniweka credit bamba 5 hio siku uliniudhi! Huoni ni aibu hio lakini nikanyamaza tu..Saa zingine we huenda na mimi chooni! Hio ni heshima kweli?
Loading views...
Kujulikana na mother in-law
Si kuolewa,, ulizeni ex wangu😂😂😂😂
Loading views...
Msichana mrembo lakini akinyamba
Maiti Inageuza kichwa🤣🤣🤣🤣🤣
Loading views...
Nilieka face unlock kwa simu alafu kujaribu na sura ya ngombe shags ikaitikia. Ebunidoscribe😂😂😁
Loading views...
Hakuna kitu mbaya kama x wako kuku pata una tembea na Slipper’s moja ime katika umebeba mkononi
Loading views...
Maisha ni siri
Nan wakuifichua??? 🤔🤔🤔🤔
Loading views...
Wakikuyu ni wasafi hati wawesi chafuwa meza kwa clap
Loading views...
Wale mnaopima UKIMWI kila baada ya miezi mitatu waga mnataka nini????
Loading views...
Kupenda asiye kupenda ni sawa na kungoja meli Kwa uwanja wa ndege
Loading views...
Juz kadem nilikatext kakaniuliza nimepata wapi no yake nikakaambia nimepew offer ya namba yake na safcom
Loading views...
Ushahi argue na mutu alafu anakushow
Sasa unataka kulia 😂😂😂😂😂😥💔
Walai hio kitu hainaga cameback
Loading views...
nimekumbuka mitochondrion nikasahau pin ya mpesa😲🤣😋😋😋🤔😁
Loading views...
Ucnione mdogo ukaniramba kisongo mtakubwagia zongo ukushinde muhogo
Loading views...
Jee ushawai panda ndege ama unangoja siku ya kwenda mbinguni????
Loading views...