Sub Categories

Maisha ni siri
Nan wakuifichua??? 🤔🤔🤔🤔

Loading views...



Imagine umelala afternoon bcoz the previous night ulikuwa kesha. mara unasika knock kwa mlango, ukienda kufungua unagongwa kidole ya mwisho ya mguu na kitanda, kuturn kidogo unaangukia ndoo za maji yanamwangika, unatereza kwa hayo maji unaangukia tv, na wire ya stima inakupinga shock kwa mgongo. unasimama na uchovu, maumivu, hasira na hasara. kufika kwa mlango kufungua unapatana na jamaa kwa mlango anasema, ” Habari yako? naregister lines za Orange!” utafanya? 😂😂

Loading views...

Uko wapi we minagawa pesa sahizi

Loading views...


phone yaka e wetse kara pitsa ya motepa wao fisa… i’m worried about you guys , a LA fisa ke motepa ??

Loading views...

Kuishi nyumbani na mwanaume asiyekuwa na pesa ni sawa na kuishi na feniture ndani ya nyumba

Loading views...


Tangu nianze kula miraa 2017 hadi wa leo sijawahi lala,,
inasemekana uwa nakula kama nmelala.

Loading views...


Ile day utaenda chemist 💊kubuy Mara moja upate nni mzungu cjui utamwambia aje🚮😭😭

Loading views...


MSHINDI kwa damu ya Yesu.kila Aaminiye na kubatizwa ameokoka.

Loading views...


Kama huna pesa punguza kitambi we are tired of respecting wrong people

Loading views...

chuki haiwezi kutoka chuki. Ni upendo pekee wenye uwezo huo

Loading views...


Demu:babe leo bata wap??
Boy:kwani wewe unataka tukale wap???
Demu:nataka tukale kwa hotel kubwa
Boy:acha ufala leo bata kwani uja waona kwenye banda lao wanakula 😂😂😂😂😂

Loading views...

Ushawahi potea njia unajipata kwa boma kwa MTU,
inabidi uombe maji ya kunywa…

Loading views...

Ati wakaba wana peda maji adi wakiabiwa
i love you wanasema water suprise

Loading views...