Sub Categories

Aahahaha ujinga n kubuy kiberitti tano n kujaribu k zote zina waka

Loading views...



In every man’s life kunakuaga na dem kila mtu huassume mshakulana na hamjawai 😌
Alafu kunakuaga na dem mshakulana lakini huezi ambia watu mshaikulana 😭
Alafu kuna dem ukiambia watu mshaikulana hawaamini 🌝
Alafu kuna dem mnakulananga lakini nyinyi wote hamuezi ambia watu coz mtastopisha reggae. 😂😂😂😂😂

Loading views...

Eti nikifa nikazikwe singida👌👌 uliacha nauli kwani😆😂🤣🤣😂😂🤣🤣

Loading views...

Him: hae
Her:moglobin
Him: wacha hizo ww
Her:zipi….unasemaje
Him:unaitwa?
Her:mzimu…uko nalaziada
Him:Thai…Dina
😂😂😂😅

Loading views...


Mzee alikuwa anaomba Mungu kwa bedroom
na kiingereza “Thank you for Mercy, Thank you
for Joy, Thank you for Grace, I now have
Faith……”
Wife akaingia bedroom kwa fujo na kukatisha
maombi…… “Heh! Nilijua tu huwezi tosheka
na mimi…. Nini umekosa kwangu ndio uende
kwa Mercy, Joy, Grace na Faith???
Mzee akajaribu kumweleza but wife was so
infuriated hakuwa anataka kumwelewa. Wife
akakimbia kitchen akachukua ile kisu kali
kabisa, akangoja mzee alale aanze
kung’orota. Akawekelea maji kwa gas
ikachemka thero-thero-thero. Akachungulia
akaona mzee ako in deep sleep
Akaenda, akachukua kuku walikuwa nayo,
akaichinja na wakati iliiva, akaita bwanake
wakakula pamoja wakaenda pekejeng

Loading views...

Huku afrika ukitaka breakfast in bed,pls kalale jikoni🙃🙃 by Carlos ochieng agunda

Loading views...


Her: Yoyaah Arfoza
Meh: Yoyaah
Her: Manjet
Meh: Man ni mtu na jet ni ndege

One word for Arfoza

Loading views...


Hahaha wamathe wa kisumu hucompit kuongea
English but hawatakagi kwambiwa hawajui

Loading views...

Ukiona dem wako amekuja Kwako alaf sm yake kaweka flight mode

Ujue uyo mwanamke Anakupenda Sana ataki Usumbufu Anapokuwa Na wew

Loading views...

Day flani tukiwa chuo beste yangu amekam amenipata nje ya dinning hall nmetulia alafu akanisho hivi.
Yeye: niaje bro c unitolee form
Mimi:Ingia halo ndani ya dinning hall kuna form nyingi had zmepanguzwa utoe moja

Loading views...


Imagine umelala afternoon bcoz the previous night ulikuwa kesha. mara unasika knock kwa mlango, ukienda kufungua unagongwa kidole ya mwisho ya mguu na kitanda, kuturn kidogo unaangukia ndoo za maji yanamwangika, unatereza kwa hayo maji unaangukia tv, na wire ya stima inakupinga shock kwa mgongo. unasimama na uchovu, maumivu, hasira na hasara. kufika kwa mlango kufungua unapatana na jamaa kwa mlango anasema, ” Habari yako? naregister lines za Orange!” utafanya? 😂😂

Loading views...


Lakini sikumuacha kwa ubaya ata wewe unaeza date dem anaita njaa maunenge 😂😂

Loading views...

Nampenda bwana yesu Sikh zote za maisha yangu kwani yeye ndiye mwenye kunipendeza na hakuna mwingine zaidi yake katika maisha yangu. Ahsante yesu kwa kunijalia afya njema ,kunikinga na na maradhi kuniepusha dhoruba za dunia hii na uzidi kuendelea kuniepusha tena na tena mpaka hapo utakapo niita baba yetu .ahsante baba kwa ridhiki unayonijalia kila siku, bariki mazao yangu ya shamba pia bariki biashara yangu iwe na Wateja wengi na I we endelevu,naomba ktk jina la yesu amina

Loading views...


*Girl;* babe leo hakuna magari nalala kwa beshte yangu nikam kesho🙂

*boy;* poa hun, hata monica beshte yako ako hapa akuna gari anadoz akungoje ukam kesho🤓
*Girl;* 😳bby kuna gari nimeona hapa ya takataka acha nione ka itanibeba

😆😆😅😅😂😂🤣🤣🤣🤣🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽

Loading views...

Aki wallahi lazima 2021 time watu wacheck before tuingie sisi ,Ile dissapointment nimepata 2020 siwezi dhubutu kuingia nayo 2021😏😏😏

Loading views...