Sometimes I really wonder,
tulikiwa tunasoma kunyume ya nini ?
Loading views...
Sometimes I really wonder,
tulikiwa tunasoma kunyume ya nini ?
Loading views...
Unataka nizae mtoto afanane na ww baba ake kwan mm nna kifuko cha uzazi ama mashine ya photocopy 😜😜
Loading views...
nimekumbuka mitochondrion nikasahau pin ya mpesa😲🤣😋😋😋🤔😁
Loading views...
List of names to avoid this festive season
Ukiskia umeitwa ivi usiitike na usijaribu kusmile, ni mtegoo
1. Mkubwa
2. Tajiri yangu
3. Mzito
4. Mtu wangu
5. Chief
6. Chairman
7. Boss yangu
8. Babe
9. Sweet heart
10. Heheheee my lost Fren.
11. Boss.
12. Muuuuutunguyaz.
13. Buuuuda.
14. Niaje mzeiya.
Loading views...
chuki haiwezi kutoka chuki. Ni upendo pekee wenye uwezo huo
Loading views...
Him: hae
Her:moglobin
Him: wacha hizo ww
Her:zipi….unasemaje
Him:unaitwa?
Her:mzimu…uko nalaziada
Him:Thai…Dina
😂😂😂😅
Loading views...
Demu:babe leo bata wap??
Boy:kwani wewe unataka tukale wap???
Demu:nataka tukale kwa hotel kubwa
Boy:acha ufala leo bata kwani uja waona kwenye banda lao wanakula 😂😂😂😂😂
Loading views...
Jifunze kuitambua dhahabu hata Kama ipo kwenye tope
Loading views...
Relationship stress ekago dira o nyake seat belt ko toilet seat
Loading views...
Ushawai kuwa single for so long Hadi
unashangaa kwani ribs yako moja ilitumika kupika supu ama Nini🤣
Loading views...
Na venye mm n bachelor 🤔nikifa xai life history ang c itakuwa fupi;”
Marehemu alizaliwa akazurura akafa”😂😂
Loading views...
akil ni nyele kila mtu ana zake
Loading views...
Her:Beb ulisema utanipeleka tour?
Joker smoker: Apana nilisema Twa Twa😂
Loading views...
Ata uwe na haraka kiac gani lazima matako uyaache nyuma
Loading views...
Mato niki refu kuliko mutura ya soko mjinga itabidi apuguzwe na rungu ya masaai
Loading views...
Kuna dem aliniita home kwake akasema anataka nyama kwa nyama. Nikamwambia cna doo labda ugali kwa mayai. Bado ajatext back ni kama akona alargy ya mayai. Ebu nipe advice
Loading views...