Ukila raha andaa tumbo la kula shida Ipo siku swala atamla simba
DNA test ya durha…Buti wamehe xava byala U n’wa u langutisa nwana kahle
Ile time dryspell zimeku zidy afu mnakuaga na mboch mokorino 😂😂😂😂😂😂😂😂
Ati nyinyi ni wengi hadi mama anapiga chapo moja alafu zingine zinawekwa photocopy
Her:Beb ulisema utanipeleka tour? Joker smoker: Apana nilisema Twa Twa😂
Kuna dem ameniuliza WHERE DID WE FIRST MEET?? Sijui nimkumbushe ile day chali yake aliniomba keja juu mm nilikuwa yule Continue Reading..
Hakuna kitu mbaya kama x wako kuku pata una tembea na Slipper’s moja ime katika umebeba mkononi
Tangu nianze kula miraa 2017 hadi wa leo sijawahi lala,, inasemekana uwa nakula kama nmelala.
Kopo la chooni ni la chooni tu,hata liwe jipya haliekwi kabatini.
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *