Ucnione mdogo ukaniramba kisongo mtakubwagia zongo ukushinde muhogo
Kama ukijua kua MTU ni watu maana MTU peke hawezi akaishi kamwe
Nilidhani usafi ni taulo kumbe sivyo hivyo
Mbaullah anavituko sana anapenda kuwa mkweli hapendagi uwongo hivyo ndivyo vituko vyake
Akuna kitu tamu kama kupendwa na wazazi wako
naangalia maisha yangu siangalii mtu but nawapenda wote
Jacaylka midopa cidi ku mashqusha maxkamada halla saaro
Maisha ni safari ndefu mnoo Ainaga kipimo ata siku moja Tunachopaswa kufanya ni Kutokukata tamaa ktk kila jambo.
Ukitaka ukwel ulizia kiundan zaidi love is poison true or false
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *