Unataka nizae mtoto afanane na ww baba ake kwan mm nna kifuko cha uzazi ama mashine ya photocopy 😜😜
Related Posts
Munakumbuka lucky dube akiimba,there will be no schools anymore mukadhania ni banging
Mato niki refu kuliko mutura ya soko mjinga itabidi apuguzwe na rungu ya masaai
Mdomo not kubwa..chapati waikunjia nini?
Eti nikifa nikazikwe singida👌👌 uliacha nauli kwani😆😂🤣🤣😂😂🤣🤣
Ata uwe na haraka kiac gani lazima matako uyaache nyuma
Na venye mm n bachelor 🤔nikifa xai life history ang c itakuwa fupi;” Marehemu alizaliwa akazurura akafa”😂😂
Him: hae Her:moglobin Him: wacha hizo ww Her:zipi….unasemaje Him:unaitwa? Her:mzimu…uko nalaziada Him:Thai…Dina 😂😂😂😅
Kupenda asiye kupenda ni sawa na kungoja meli Kwa uwanja wa ndege
