Kama ukijua kua MTU ni watu maana MTU peke hawezi akaishi kamwe
naangalia maisha yangu siangalii mtu but nawapenda wote
MSHINDI kwa damu ya Yesu.kila Aaminiye na kubatizwa ameokoka.
Furaha yngu nimuonapo ana smile
maisha ni safari ndefu yana panda na kushuka binaadamu tuwe makini
Furaha usoni, maumivu noyoni.
Ukitaka ukwel ulizia kiundan zaidi love is poison true or false
Maisha ni mlima kupanda na kushuka
tafadhali shiriki utani wako na sisi katika lugha ya swahili
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *