Kama ukijua kua MTU ni watu maana MTU peke hawezi akaishi kamwe
Furaha yngu nimuonapo ana smile
Nilidhani usafi ni taulo kumbe sivyo hivyo
Mwanamke mpumbavu,hubomoa Nyumba yake mweye,mwerevu hujenga
Akuna kitu tamu kama kupendwa na wazazi wako
akil ni nyele kila mtu ana zake
Maisha ni safari ndefu mnoo Ainaga kipimo ata siku moja Tunachopaswa kufanya ni Kutokukata tamaa ktk kila jambo.
Hahaha wamathe wa kisumu hucompit kuongea English but hawatakagi kwambiwa hawajui
Maisha ni mlima kupanda na kushuka
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *