Sub Categories

Ati wakaba wana peda maji adi wakiabiwa
i love you wanasema water suprise

Loading views...



USIPENDE NINACHOPENDA KWA MAANA SIKU NIKIWA NACHO UTATAMAN CHAKWANGU NAWEW UKIWA NACHO NITATAMAN CHAKO

Loading views...

Sis:I was at UKZN n thy said thy are still pending, what do thy mean ??😯😑

Me: sisi thy mean bayapenda

Loading views...

Unaninyamazia unafikiria ntakumiss unashtuka nilikusahau 😂😂😂💔💔

Loading views...

Maisha ni mlima kupanda na kushuka

Loading views...


Nakumbuka Chemistry paper 1 kulikuwa na hii swali “State 3 characteristics of bromine” Sasa mimi na ujinga yangu nikaandika characteristics za Bro wa mine😁

Loading views...


Lakini sikumuacha kwa ubaya ata wewe unaeza date dem anaita njaa maunenge 😂😂

Loading views...

chuki haiwezi kutoka chuki. Ni upendo pekee wenye uwezo huo

Loading views...


Ushahi argue na mutu alafu anakushow
Sasa unataka kulia 😂😂😂😂😂😥💔
Walai hio kitu hainaga cameback

Loading views...


My future wife si uje ama nifungue butchery na hizi ngombe za dowry

Loading views...


Eti ooh nataka mwanaume wa kunilinda na ukitongozwa na mlinzi unakataa!?

Loading views...

Ata ukiskia hawa watoto wa shule wamewekwa mimba sijui ngapi ,hii kitu Kuna mahali inafikanga inakosa break

Loading views...

Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi
Panya 1: jamani mimi ni noma Wiki hii nimekula rat rat(sumu ya panya) mara tatu na sijadedi !!!
Panya 2 Wewe unasema nini, mimi nimekula nyama ikiwa
kwa mtego mara 5 nasijawahi dakwa
RAT 3 Mmemaliza? Mie hata sijui mnabishana nini? Mimi hii mimba niliyo nayo ni ya paka !!!
.
.Panya WA 1 na 2 wakazimia😆😆😆😆😆
Panya wa 3 huwa hapendi ujinga kabisa

Loading views...