Ati wakaba wana peda maji adi wakiabiwa
i love you wanasema water suprise
Loading views...
Ati wakaba wana peda maji adi wakiabiwa
i love you wanasema water suprise
Loading views...
USIPENDE NINACHOPENDA KWA MAANA SIKU NIKIWA NACHO UTATAMAN CHAKWANGU NAWEW UKIWA NACHO NITATAMAN CHAKO
Loading views...
Sis:I was at UKZN n thy said thy are still pending, what do thy mean ??
Me: sisi thy mean bayapenda
Loading views...
Kuna day tulienda na alkey kwa supper
Loading views...
Unaninyamazia unafikiria ntakumiss unashtuka nilikusahau
Loading views...
Maisha ni mlima kupanda na kushuka
Loading views...
Nakumbuka Chemistry paper 1 kulikuwa na hii swali “State 3 characteristics of bromine” Sasa mimi na ujinga yangu nikaandika characteristics za Bro wa mine
Loading views...
Lakini sikumuacha kwa ubaya ata wewe unaeza date dem anaita njaa maunenge
Loading views...
Ukitaka ukwel ulizia kiundan zaidi love is poison true
or false
Loading views...
chuki haiwezi kutoka chuki. Ni upendo pekee wenye uwezo huo
Loading views...
Ushahi argue na mutu alafu anakushow
Sasa unataka kulia
Walai hio kitu hainaga cameback
Loading views...
Cjai ona ugonjwa mbaya kma ujinga aina tiba Tina ni kibao
Loading views...
My future wife si uje ama nifungue butchery na hizi ngombe za dowry
Loading views...
Eti ooh nataka mwanaume wa kunilinda na ukitongozwa na mlinzi unakataa!?
Loading views...
Ata ukiskia hawa watoto wa shule wamewekwa mimba sijui ngapi ,hii kitu Kuna mahali inafikanga inakosa break
Loading views...
Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi
Panya 1: jamani mimi ni noma Wiki hii nimekula rat rat(sumu ya panya) mara tatu na sijadedi !!!
Panya 2 Wewe unasema nini, mimi nimekula nyama ikiwa
kwa mtego mara 5 nasijawahi dakwa
RAT 3 Mmemaliza? Mie hata sijui mnabishana nini? Mimi hii mimba niliyo nayo ni ya paka !!!
.
.Panya WA 1 na 2 wakazimia
Panya wa 3 huwa hapendi ujinga kabisa
Loading views...