Ukiona dem wako amekuja Kwako alaf sm yake kaweka flight mode
Ujue uyo mwanamke Anakupenda Sana ataki Usumbufu Anapokuwa Na wew
Ukiona dem wako amekuja Kwako alaf sm yake kaweka flight mode
Ujue uyo mwanamke Anakupenda Sana ataki Usumbufu Anapokuwa Na wew
Ile day utaenda chemist 💊kubuy Mara moja upate nni mzungu cjui utamwambia aje🚮😭😭
……… ….. Maslay queen…..wanaoganga qweli juu hawapendi kugusa maji…..
chuki haiwezi kutoka chuki. Ni upendo pekee wenye uwezo huo
Ile day utaenda chemist 💊kubuy Mara moja upate nni mzungu cjui utamwambia aje🚮😭😭
To my future kids,Mimi Niko tayari kuwaleta duniani lakini baba yenu anangangania warembo uko inje 🤣🤣
Msinilaumu nikiwaambia tulivaa vikapu Kama ngombe mwaka mzima😭
Wale mlikuwa mnasema 2020 is your financial year ebu mkujie mwaka yenu na sitafadhali 🤣🤣
Aki wallahi lazima 2021 time watu wacheck before tuingie sisi ,Ile dissapointment nimepata 2020 siwezi dhubutu kuingia nayo 2021😏😏😏
Na hats uwe unapenda vipi
Kumenya viungo vya mboga
Lakini huwezi kumenya pilipili
au bamia”
Et ooo babe nkupenda pekeako ukome mi sijafundishwa ivo kwenye maish kumpenda mtu 1 sina tabia izo za jini😂😂😂
Tangu nipikie wageni chai kwa sufuria ya omena , madhee hajawai kubali niingie jikoni
Ati nyinyi ni wengi hadi mama anapiga chapo moja alafu zingine zinawekwa photocopy
Ati dem wako anaforce issue kaa msee wa curfew😂😂😂
Unataka nizae mtoto afanane na ww baba ake kwan mm nna kifuko cha uzazi ama mashine ya photocopy 😜😜
USIPENDE NINACHOPENDA KWA MAANA SIKU NIKIWA NACHO UTATAMAN CHAKWANGU NAWEW UKIWA NACHO NITATAMAN CHAKO
Nilieka face unlock kwa simu alafu kujaribu na sura ya ngombe shags ikaitikia. Ebunidoscribe😂😂😁