Sub Categories

Kuna dem aliniita home kwake akasema anataka nyama kwa nyama. Nikamwambia cna doo labda ugali kwa mayai. Bado ajatext back ni kama akona alargy ya mayai. Ebu nipe advice



I hope my book of life ingeandikwa na kalamu ya mate kuna ka place nafaa kuvuta

Wale mnaopima UKIMWI kila baada ya miezi mitatu waga mnataka nini????


Lakini sikumuacha kwa ubaya ata wewe unaeza date dem anaita njaa maunenge πŸ˜‚πŸ˜‚


Unaninyamazia unafikiria ntakumiss unashtuka nilikusahau πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ’”πŸ’”


Unalia nkikataa kupic call yako na umepiga mara moja tu,
ni mara ngapi yesu amekuita na ukakataa.?

Ukila raha andaa tumbo la kula shida
Ipo siku swala atamla simba


penda anae kupenda asiye kupenda achana nae


Kupenda usipende sanaaaa chukulia umempenda sana mwanamke halafu anakuwekea limbwata unafikiri utakuwa kwenye hali gani


Do not let any one to know. Am telling u a big secret.
It is only between us okay. Ati nimeskia kama Kenya iko Africa ??ni kweli ama??🀣🀣🀣🀣

Him: hae
Her:moglobin
Him: wacha hizo ww
Her:zipi….unasemaje
Him:unaitwa?
Her:mzimu…uko nalaziada
Him:Thai…Dina
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜