Kuna dem aliniita home kwake akasema anataka nyama kwa nyama. Nikamwambia cna doo labda ugali kwa mayai. Bado ajatext back ni kama akona alargy ya mayai. Ebu nipe advice
Related Posts
Some ladies will be there like..”I have inner beauty” my sister, kwani wewe ni mutura☹
Unataka nizae mtoto afanane na ww baba ake kwan mm nna kifuko cha uzazi ama mashine ya photocopy 😜😜
Ety demu kwakwmbia uwende kwao kwakuwa mama yake ayupo, kumbe nao ni ushezi
Dactari akioa nurse wanaweza zaa mgonjwa ?
Kupenda asiye kupenda ni sawa na kungoja meli Kwa uwanja wa ndege
Unapoondoka duka bila kununua chochote na unajiambia “tenda kawaida, huna hatia”
Nilieka face unlock kwa simu alafu kujaribu na sura ya ngombe shags ikaitikia. Ebunidoscribe😂😂😁
Kumbe Tumbo ndo inanyamba Matako ni Speaker tu 😂😂
