Unakumbuka ukianza insha na….
Katika Kijiji kimoja paliondokea mtu mmoja masikini hoehae…
Ona sahii we ndio huyo masikini😂😂😂
*What goes around comes around😏
Related Posts
Ushawahi potea njia unajipata kwa boma kwa MTU, inabidi uombe maji ya kunywa…
umewahi kasiliswa na mpango wa kando hadi ukataka kambia wife?
Kwako Kuna bed switch ama unazimanga stima then unatembea hadi kwa bed Kama kipofu
Pesa kidogo tu ukiongea unasema I mean si useme tu unamaanisha tutakuelewa mabaharia
Et ooo babe nkupenda pekeako ukome mi sijafundishwa ivo kwenye maish kumpenda mtu 1 sina tabia izo za jini😂😂😂
Hii ngozi enye Mungu alitumia kutengenezea magoti nashuku ni same na ile alitumia kutengenezea makende. Hizi ngozi mbili zinafanana sana… Continue Reading..
Sio sigara tu hata ukiwa na mwanamke msumbufu ni hatari kwa afya yako
Form fours are like posting *”stress is over”*😂tuwaambie ukweli ama tuwaache wapumzike😂