Unakumbuka ukianza insha na….
Katika Kijiji kimoja paliondokea mtu mmoja masikini hoehae…
Ona sahii we ndio huyo masikini😂😂😂
*What goes around comes around😏
Related Posts
Hii Nairobi kama hujaact setbooks Haujajaribu online jobs za global alliance (kwanza hii)😂 Haujaenda mjengo😌 Haujafanya promotion ya nodules ama Continue Reading..
Oyaa oyaa m uneza niita kwako ama mbogi ya xhivakala
Kama huna pesa punguza kitambi we are tired of respecting wrong people
Ata ukiskia hawa watoto wa shule wamewekwa mimba sijui ngapi ,hii kitu Kuna mahali inafikanga inakosa break
Day flani tukiwa chuo beste yangu amekam amenipata nje ya dinning hall nmetulia alafu akanisho hivi. Yeye: niaje bro c Continue Reading..
Kua smart bro kupeleka dame si wako out then unamdrop kwao ni Kama kuweka token kwa meter ya lodging bro
Ety demu kwakwmbia uwende kwao kwakuwa mama yake ayupo, kumbe nao ni ushezi
*Girl;* babe leo hakuna magari nalala kwa beshte yangu nikam kesho🙂 *boy;* poa hun, hata monica beshte yako ako hapa Continue Reading..