Tangu nipikie wageni chai kwa sufuria ya omena , madhee hajawai kubali niingie jikoni
Related Posts
Eti nikifa nikazikwe singida👌👌 uliacha nauli kwani😆😂🤣🤣😂😂🤣🤣
Kwako Kuna bed switch ama unazimanga stima then unatembea hadi kwa bed Kama kipofu
Unataka kucheza n ingali umesimama Aaaaah inama inama
Ushahi argue na mutu alafu anakushow Sasa unataka kulia 😂😂😂😂😂😥💔 Walai hio kitu hainaga cameback
Hakika umefanyika bubujiko la nafsi yangu na kunifanya kuwa wakipekee kwako also all in all when i’m feel in love Continue Reading..
Tangu nianze kula miraa 2017 hadi wa leo sijawahi lala,, inasemekana uwa nakula kama nmelala.
Mko kwenye sensa mara wakala anauliza mama una g’ombe hapa na mama anaanza kukuangalia wewe
Unaringa unadhani nitakuwaza……unashtukia nishakusahau
