Sometimes I really wonder, tulikiwa tunasoma kunyume ya nini ?
Ukimkuta dada amevaa miwani anakuwa na dharau sana anasahau kuwa kilichomfanya avae iyo miwani ni ugonjwa 😀😀😀🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Her: Yoyaah Arfoza Meh: Yoyaah Her: Manjet Meh: Man ni mtu na jet ni ndege One word for Arfoza
Lakini si mtu akibuy laini ya Airtel anafaa kupewa na jacket ya kuprevent baridi wakati anatafuta network
Mamako anajua unanyonya vutu za kukojoa?
Imagine tufike mbinguni halafu tupate kukula cuzo haikua Dhabi!!
Kuishi nyumbani na mwanaume asiyekuwa na pesa ni sawa na kuishi na feniture ndani ya nyumba
Mato niki refu kuliko mutura ya soko mjinga itabidi apuguzwe na rungu ya masaai
Corona ilifanya poa ku kam 2020. Ingekam kitu 2006.. Tungekaa tu indoors na nokia 1110..tukicheza game ya manyoka..hakuna selfles ata
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *