Her:Beb ulisema utanipeleka tour? Joker smoker: Apana nilisema Twa Twa😂
Unaniita na nambari binafsi na nitazamia mimi kuzungumza kwanza? Nadhani tutaweza kupumzika mpaka utakapoendelea
*Girl;* babe leo hakuna magari nalala kwa beshte yangu nikam kesho🙂 *boy;* poa hun, hata monica beshte yako ako hapa Continue Reading..
Munakumbuka lucky dube akiimba,there will be no schools anymore mukadhania ni banging
em wangu aliniambia ka ninataka Mapenzi nitumia number Bluutooth
My future wife si uje ama nifungue butchery na hizi ngombe za dowry
Cjai ona ugonjwa mbaya kma ujinga aina tiba Tina ni kibao
Ushahi argue na mutu alafu anakushow Sasa unataka kulia 😂😂😂😂😂😥💔 Walai hio kitu hainaga cameback
Unapoondoka duka bila kununua chochote na unajiambia “tenda kawaida, huna hatia”
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *