Sometimes I really wonder, tulikiwa tunasoma kunyume ya nini ?
Do not let any one to know. Am telling u a big secret. It is only between us okay. Ati Continue Reading..
Wale mnaopima UKIMWI kila baada ya miezi mitatu waga mnataka nini????
Kuna dem aliniita home kwake akasema anataka nyama kwa nyama. Nikamwambia cna doo labda ugali kwa mayai. Bado ajatext back Continue Reading..
Niliambia caro nataka mtoto akanijibu uterus haiendi mahali nitafute pesa kwanza
Mdomo not kubwa..chapati waikunjia nini?
Kua smart bro kupeleka dame si wako out then unamdrop kwao ni Kama kuweka token kwa meter ya lodging bro
umewahi kasiliswa na mpango wa kando hadi ukataka kambia wife?
Unaniita na nambari binafsi na nitazamia mimi kuzungumza kwanza? Nadhani tutaweza kupumzika mpaka utakapoendelea
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *