Sometimes I really wonder, tulikiwa tunasoma kunyume ya nini ?
Ww sherekea kukaa nyumbani na next yr uko form 4 seoson 2 🤣🤣🤣🤣
Wakikuyu ni wasafi hati wawesi chafuwa meza kwa clap
Him: hae Her:moglobin Him: wacha hizo ww Her:zipi….unasemaje Him:unaitwa? Her:mzimu…uko nalaziada Him:Thai…Dina 😂😂😂😅
Dactari akioa nurse wanaweza zaa mgonjwa ?
In your last relationship, ulikuwa impeached, ulistep down ama uliangushwa na external forces?
Unataka nizae mtoto afanane na ww baba ake kwan mm nna kifuko cha uzazi ama mashine ya photocopy 😜😜
……… ….. Maslay queen…..wanaoganga qweli juu hawapendi kugusa maji…..
Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi Panya 1: jamani mimi ni noma Wiki hii nimekula rat rat(sumu ya Continue Reading..
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *