karibu kenya place unabuy maziwa imelala 35 while fresh 20 bob
Related Posts
Ukila raha andaa tumbo la kula shida Ipo siku swala atamla simba
Corona ilifanya poa ku kam 2020. Ingekam kitu 2006.. Tungekaa tu indoors na nokia 1110..tukicheza game ya manyoka..hakuna selfles ata
Kuna dem ameniuliza WHERE DID WE FIRST MEET?? Sijui nimkumbushe ile day chali yake aliniomba keja juu mm nilikuwa yule Continue Reading..
Kama nilikuudhi mwaka huu , kumbuka mwakani ni palepale sikufugi😂😂
Kama anaringa sana usishinde ukijisumbua tuone kama atajikula😜😛😛😜
Titi taaa tete kumilife is short so smile whole still hve a chance to do so
Unataka nizae mtoto afanane na ww baba ake kwan mm nna kifuko cha uzazi ama mashine ya photocopy 😜😜
Niliambiwa na mwalimu wangu wa kiswahili ya kwamba ukiona mtu na makalio kubwa ujue ni ujinga amebeba hapo soo madem Continue Reading..
