karibu kenya place unabuy maziwa imelala 35 while fresh 20 bob
Ety demu kwakwmbia uwende kwao kwakuwa mama yake ayupo, kumbe nao ni ushezi
To our sisters leo want to ask you this question hivi….. “what would you do if you start arguing with Continue Reading..
Bak in skull ukiwa Dom…. we Zima stima tulale unaskia wazimu mwngne ukilala class ulkuwa umezima stima
Unataka nizae mtoto afanane na ww baba ake kwan mm nna kifuko cha uzazi ama mashine ya photocopy 😜😜
Na venye mm n bachelor 🤔nikifa xai life history ang c itakuwa fupi;” Marehemu alizaliwa akazurura akafa”😂😂
Wanaume wa Siku hizi ni vigumu kuwatambua na makalio za wanawake za kila rangi now dayz ni zilipendwa
Jee ushawai panda ndege ama unangoja siku ya kwenda mbinguni????
Tumbili zikiwa tatu bado ni tumbili au ni tutatu ? Hii kitu inanikula kichwa sana
😍😍😍
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *
😍😍😍