Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!
Related Posts
Endelea kiwaita sleepover ile siku dem atakufia kwako sijui utafanya aje!
nimeiba kipimo cha mimba hosiptli nkajuwa ni flashi 🤣🤣🤣🤣🤣
Back in high school, I was very poor in maths during exams nilikua napata Kati ya 4% na 10%🙈. The Continue Reading..
Hanna kitu kibay kam kusengenyana na mamb mazuri ni kama urafiki
Sijai sikia mganga anatibu nguvu za kike kwani wanawake wote mko sawa
Ushawahi potea njia unajipata kwa boma kwa MTU, inabidi uombe maji ya kunywa…
Huku afrika ukitaka breakfast in bed,pls kalale jikoni🙃🙃 by Carlos ochieng agunda
KARUMAINDO BAR NOTCE in Nyeri. 1. Ukifanya ornder, unaturia, usichide umekubucha kubucha waiter, yeye ni mutu msima anakubuka. 2. Ukirewo Continue Reading..
2 thoughts on “driver”
Ndio maana wakaitwa majizi wapo juu dereva wata muonea wapi
Ndio maana wakaitwa majizi wapo juu dereva wata muonea wapi
Kuchh wr