Maisha ni mlima kupanda na kushuka
akil ni nyele kila mtu ana zake
Uko wapi we minagawa pesa sahizi
naangalia maisha yangu siangalii mtu but nawapenda wote
Furaha usoni, maumivu noyoni.
At I. Nyanyayako amezeeka had I akipiga miayo inalia kama mlango.
Kama ukijua kua MTU ni watu maana MTU peke hawezi akaishi kamwe
maisha ni safari ndefu yana panda na kushuka binaadamu tuwe makini
Ente itamba, yebare yesu kucwa ekidi, I luv Uganda. God z good
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *