Demu:babe leo bata wap??
Boy:kwani wewe unataka tukale wap???
Demu:nataka tukale kwa hotel kubwa
Boy:acha ufala leo bata kwani uja waona kwenye banda lao wanakula ๐๐๐๐๐
Unapoondoka duka bila kununua chochote na unajiambia
โtenda kawaida, huna hatiaโ
Nimepoteza uoni kwani sion tena kitu kwenye wallet
Wanaume wa Siku hizi ni vigumu kuwatambua na makalio za wanawake za kila rangi now dayz ni zilipendwa
Hii Nairobi kama hujaact setbooks
Haujajaribu online jobs za global alliance (kwanza hii)๐
Haujaenda mjengo๐
Haujafanya promotion ya nodules ama simu๐ฉ๐ซ
Halafu kuna ile walk ya kiadvatise pizza na kuku ๐
๐
My friend hakuna kitu utaniambia kuhusu kuhustle๐
Unaniita na nambari binafsi na nitazamia mimi
kuzungumza kwanza?
Nadhani tutaweza kupumzika mpaka utakapoendelea
Nakumbuka Chemistry paper 1 kulikuwa na hii swali โState 3 characteristics of bromineโ Sasa mimi na ujinga yangu nikaandika characteristics za Bro wa mine๐
Msichana mmoja alimpeleka mchumba wake kwao kumtambulisha kwa wazazi wake.
Alipofika tu baba yake akagundua dosari maana mvulana alikuwa mweusi tii ana matege makali na makengeza ya maana!!
Jamaa alipo ona sura ya baba mkwe wake imebadilika ikabidi atabasamu kiasi.
Lahaula! Alikuwa na mapengo hana meno yote ya mbele!
Baba akaamua amuite binti yake:
Baba:โMwanangu hebu twende nje tuongee.โ
Binti:โBaba sema hapahapa tu mchumba wangu ni kiziwi.โ
.
.
Baba mtu akazimia!!
Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!
Ma sister, imagine walking in heaven and all the kids you aborted be like:
โJesu nangu loโ
Nmeona niende kwa mama mkwe nikaulize juu
nimeona mtoto wake amekua sio mtamu tena sa hiiโฆ
Eti nikifa nikazikwe singida๐๐ uliacha nauli kwani๐๐๐คฃ๐คฃ๐๐๐คฃ๐คฃ
In every manโs life kunakuaga na dem kila mtu huassume mshakulana na hamjawai ๐
Alafu kunakuaga na dem mshakulana lakini huezi ambia watu mshaikulana ๐ญ
Alafu kuna dem ukiambia watu mshaikulana hawaamini ๐
Alafu kuna dem mnakulananga lakini nyinyi wote hamuezi ambia watu coz mtastopisha reggae. ๐๐๐๐๐
Ati wakaba wana peda maji adi wakiabiwa
i love you wanasema water suprise
Juz kadem nilikatext kakaniuliza nimepata wapi no yake nikakaambia nimepew offer ya namba yake na safcom
Kuna dem ameniuliza WHERE DID WE FIRST MEET??
Sijui nimkumbushe ile day chali yake aliniomba keja juu mm nilikuwa yule msee nilikuwa nafua hapo nje