Demu:babe leo bata wap??
Boy:kwani wewe unataka tukale wap???
Demu:nataka tukale kwa hotel kubwa
Boy:acha ufala leo bata kwani uja waona kwenye banda lao wanakula ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚



Unapoondoka duka bila kununua chochote na unajiambia
โ€œtenda kawaida, huna hatiaโ€

Wanaume wa Siku hizi ni vigumu kuwatambua na makalio za wanawake za kila rangi now dayz ni zilipendwa


Hii Nairobi kama hujaact setbooks
Haujajaribu online jobs za global alliance (kwanza hii)๐Ÿ˜‚
Haujaenda mjengo๐Ÿ˜Œ
Haujafanya promotion ya nodules ama simu๐Ÿ˜ฉ๐Ÿ˜ซ

Halafu kuna ile walk ya kiadvatise pizza na kuku ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚
My friend hakuna kitu utaniambia kuhusu kuhustle๐Ÿ˜‚

Unaniita na nambari binafsi na nitazamia mimi
kuzungumza kwanza?
Nadhani tutaweza kupumzika mpaka utakapoendelea


Nakumbuka Chemistry paper 1 kulikuwa na hii swali โ€œState 3 characteristics of bromineโ€ Sasa mimi na ujinga yangu nikaandika characteristics za Bro wa mine๐Ÿ˜


Msichana mmoja alimpeleka mchumba wake kwao kumtambulisha kwa wazazi wake.

Alipofika tu baba yake akagundua dosari maana mvulana alikuwa mweusi tii ana matege makali na makengeza ya maana!!

Jamaa alipo ona sura ya baba mkwe wake imebadilika ikabidi atabasamu kiasi.
Lahaula! Alikuwa na mapengo hana meno yote ya mbele!

Baba akaamua amuite binti yake:

Baba:โ€Mwanangu hebu twende nje tuongee.โ€

Binti:โ€Baba sema hapahapa tu mchumba wangu ni kiziwi.โ€
.
.
Baba mtu akazimia!!

Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!

Ma sister, imagine walking in heaven and all the kids you aborted be like:
โ€œJesu nangu loโ€


Nmeona niende kwa mama mkwe nikaulize juu
nimeona mtoto wake amekua sio mtamu tena sa hiiโ€ฆ


Eti nikifa nikazikwe singida๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ uliacha nauli kwani๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

In every manโ€™s life kunakuaga na dem kila mtu huassume mshakulana na hamjawai ๐Ÿ˜Œ
Alafu kunakuaga na dem mshakulana lakini huezi ambia watu mshaikulana ๐Ÿ˜ญ
Alafu kuna dem ukiambia watu mshaikulana hawaamini ๐ŸŒ
Alafu kuna dem mnakulananga lakini nyinyi wote hamuezi ambia watu coz mtastopisha reggae. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚


Ati wakaba wana peda maji adi wakiabiwa
i love you wanasema water suprise

Kuna dem ameniuliza WHERE DID WE FIRST MEET??
Sijui nimkumbushe ile day chali yake aliniomba keja juu mm nilikuwa yule msee nilikuwa nafua hapo nje