Ati nyinyi ni wengi hadi mama anapiga chapo moja alafu zingine zinawekwa photocopy

Loading views...



Madem wa siku izi wamekuwa kaa karao.mnakutana tao then next week uko ndani🤣😂🤣if you know you know

Loading views...

Usisoee kunya peupe manyasini,utakuja donua na kuku akidhani wamutupia nyama na sima ya wimbi.

Loading views...

Nmeona niende kwa mama mkwe nikaulize juu
nimeona mtoto wake amekua sio mtamu tena sa hii…

Loading views...


Ushahi argue na mutu alafu anakushow
Sasa unataka kulia 😂😂😂😂😂😥💔
Walai hio kitu hainaga cameback

Loading views...

Day flani tukiwa chuo beste yangu amekam amenipata nje ya dinning hall nmetulia alafu akanisho hivi.
Yeye: niaje bro c unitolee form
Mimi:Ingia halo ndani ya dinning hall kuna form nyingi had zmepanguzwa utoe moja

Loading views...


Form fours are like posting *”stress is over”*😂tuwaambie ukweli ama tuwaache wapumzike😂

Loading views...


Back in high school, I was very poor in maths during exams nilikua napata Kati ya 4% na 10%🙈. The results used to be announced from the lowest maarks to the highest marks,, so nilikua wa kwanza ama wa pili kuitwa😑 alafu napokea viboko kadhaa 😏.
So one day the maths results were announced and my name wasn’t among the first to be called 🤜🤛…so mwalimu anaendelea 30%, 40%, 50%, 60%, 70% bado jina langu halikuitwa, kila mtu kwa class akaniangalia👀,, wanauliza “umepitaje huu mtihani?”😝,nikasmile nikasema ” Ni mungu tu” by the time alifika 80% I was already grinning in excitement. Wakati alifika 90% alikuwa amebaki na paper moja tu 😁🙌,, saa mungu amejibu maombi na ndoto yangu ya kupita maths imetimia🙏,, class mzima walishangaa na kuniangalia 👀,, finally mwalimu akaangalia juu na kusema.

“One idiot did not write his name and he scored 0%”. l just fainted 😂😂

Loading views...

Kuna dem aliniita home kwake akasema anataka nyama kwa nyama. Nikamwambia cna doo labda ugali kwa mayai. Bado ajatext back ni kama akona alargy ya mayai. Ebu nipe advice

Loading views...

Kupenda asiye kupenda ni sawa na kungoja meli Kwa uwanja wa ndege

Loading views...


Kuishi nyumbani na mwanaume asiyekuwa na pesa ni sawa na kuishi na feniture ndani ya nyumba

Loading views...


Kati ya hizi mbili ni gani ya aibu:

1.Kupatwa
Ukijipima viatu za
mgeni.

2.mgeni akipatwa
akiongezea maji ya
ugali. 😂😂

Loading views...

Lakini si mtu akibuy laini ya Airtel anafaa kupewa na jacket ya kuprevent baridi wakati anatafuta network

Loading views...


Mato niki refu kuliko mutura ya soko mjinga itabidi apuguzwe na rungu ya masaai

Loading views...

January imefika wale shamba boy mulikwa ushago mwende Nairobi kufiyeka mboma zatu huko Una enjoy girl friend wako beb Niko busy kwa Office ww

Loading views...

nimekumbuka mitochondrion nikasahau pin ya mpesa😲🤣😋😋😋🤔😁

Loading views...