To our sisters leo want to ask you this question hivi…..

β€œwhat would you do if you start arguing with your man and he starts crying”

Sisi tuko hapa to see the comments and kuchangia where we have tooπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚



Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kuna mtu huku ndani hananga kazi.. Yeye hushinda kuitisha pics za watu then ako zile za… Wow, nice, cute, sexy. . πŸ˜‚

Wanaume wa Siku hizi ni vigumu kuwatambua na makalio za wanawake za kila rangi now dayz ni zilipendwa


Kama huna pesa punguza kitambi we are tired of respecting wrong people


Fuck maze, ile time umejipata maudenki zimekukaza then kufika kwa choo unapata kuna ninja ili kunia juu bt kulingana navile umekazwa inabidi uingine,,, then ukiwa ndani kimsee kinakam afu kinaamua kungoja utoke… Coz hauwezi taka aone hio shonde asikushuku ww unamua kutumia gazeti yako kupanguza hio shonde we unabaki hivyo

Ile time ume nyandua fame na ngori ya kidogii afu utabike after a few minutes unaskiaga fame aki shuta na nyap
😜


Cjai ona ugonjwa mbaya kma ujinga aina tiba Tina ni kibao


Unaninyamazia unafikiria ntakumiss unashtuka nilikusahau πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ’”πŸ’”


Unaringa unadhani nitakuwaza……unashtukia nishakusahau