Kuishi nyumbani na mwanaume asiyekuwa na pesa ni sawa na kuishi na feniture ndani ya nyumba

Loading views...



Ao Khape Blesser Ge A Fithla Gate’ng Ya Ko Geno A Re
“Jbanh O Ngwana Wa Mbali?

Loading views...

Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!

Loading views...

Si kampuni ya makeup i strike ndo tujue Wanaume niwangapi hii Kenya

Loading views...


Why fire kempinski staff for doing it we all do it, the riskier the place the better. They didn’t tell cameras to watch..

Loading views...


Wanaume wa Siku hizi ni vigumu kuwatambua na makalio za wanawake za kila rangi now dayz ni zilipendwa

Loading views...


Her:Beb ulisema utanipeleka tour?
Joker smoker: Apana nilisema Twa Twa😂

Loading views...

Aki wallahi lazima 2021 time watu wacheck before tuingie sisi ,Ile dissapointment nimepata 2020 siwezi dhubutu kuingia nayo 2021😏😏😏

Loading views...

Kwa nini ulikubali myanyako aolewe na babu yako .naunajua wote ni wazee.umestakia kuruhusu hawa watu wawili hapa kituo cha.jongo love. Kesho kabla ya kikwara wa kwanza kupiga mswaki.kama hutakuja utatembelewa na baby wa ma Baby. Olewako sina huruma na hii kesi.Hello statu up you nau don’t giverup.

Loading views...


Nimepoteza uoni kwani sion tena kitu kwenye wallet

Loading views...


Nmeona niende kwa mama mkwe nikaulize juu
nimeona mtoto wake amekua sio mtamu tena sa hii…

Loading views...

Hata uwe na haraka kiasi gani…,lazima matako itabaki nyuma

Loading views...


Unapoondoka duka bila kununua chochote na unajiambia
“tenda kawaida, huna hatia”

Loading views...

Ata ukiskia hawa watoto wa shule wamewekwa mimba sijui ngapi ,hii kitu Kuna mahali inafikanga inakosa break

Loading views...

Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi
Panya 1: jamani mimi ni noma Wiki hii nimekula rat rat(sumu ya panya) mara tatu na sijadedi !!!
Panya 2 Wewe unasema nini, mimi nimekula nyama ikiwa
kwa mtego mara 5 nasijawahi dakwa
RAT 3 Mmemaliza? Mie hata sijui mnabishana nini? Mimi hii mimba niliyo nayo ni ya paka !!!
.
.Panya WA 1 na 2 wakazimia😆😆😆😆😆
Panya wa 3 huwa hapendi ujinga kabisa

Loading views...