When she’s hot as fuck but flopo eore a nkga legano 😒😒 you’ll end up saying things like “etlwa colgate ye enale swikiri ye nchi bjang”.. before you kiss her

Loading views...



nimekumbuka mitochondrion nikasahau pin ya mpesa😲🤣😋😋😋🤔😁

Loading views...

Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!

Loading views...

Wasee wasee kwenu watu ni wengi hadi ikifika saa ya chakula unaitwa na Register

Loading views...


Na venye mm n bachelor 🤔nikifa xai life history ang c itakuwa fupi;”
Marehemu alizaliwa akazurura akafa”😂😂

Loading views...


Kuna dem ameniuliza WHERE DID WE FIRST MEET??
Sijui nimkumbushe ile day chali yake aliniomba keja juu mm nilikuwa yule msee nilikuwa nafua hapo nje

Loading views...


Endelea kiwaita sleepover ile siku dem atakufia kwako sijui utafanya aje!

Loading views...

Wanaume wa Siku hizi ni vigumu kuwatambua na makalio za wanawake za kila rangi now dayz ni zilipendwa

Loading views...

mtoto aliagizwa hela ya mlinzi na mwalimu akaenda kumweleza baba ake, baba akamjibu kamweleze mwalimu yesu ndio mlinzi mkuu aache wizi……😂😂😆😆😆🤣🤣

Loading views...


Ile day utaenda chemist 💊kubuy Mara moja upate nni mzungu cjui utamwambia aje🚮😭😭

Loading views...


Titi taaa tete kumilife is short so smile
whole still hve a chance to do so

Loading views...

*Girl;* babe leo hakuna magari nalala kwa beshte yangu nikam kesho🙂

*boy;* poa hun, hata monica beshte yako ako hapa akuna gari anadoz akungoje ukam kesho🤓
*Girl;* 😳bby kuna gari nimeona hapa ya takataka acha nione ka itanibeba

😆😆😅😅😂😂🤣🤣🤣🤣🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽

Loading views...


Kwako Kuna bed switch ama unazimanga stima then unatembea hadi kwa bed Kama kipofu

Loading views...

Ata ukiskia hawa watoto wa shule wamewekwa mimba sijui ngapi ,hii kitu Kuna mahali inafikanga inakosa break

Loading views...