Ushai chunwa kinyambio na mgenge😂😂😂😂😃

Loading views...



When she’s hot as fuck but flopo eore a nkga legano 😒😒 you’ll end up saying things like “etlwa colgate ye enale swikiri ye nchi bjang”.. before you kiss her

Loading views...

Hanna kitu kibay kam kusengenyana na mamb mazuri ni kama urafiki

Loading views...

Unakumbuka ukianza insha na….
Katika Kijiji kimoja paliondokea mtu mmoja masikini hoehae…

Ona sahii we ndio huyo masikini😂😂😂
*What goes around comes around😏

Loading views...


Kati ya hizi mbili ni gani ya aibu:

1.Kupatwa
Ukijipima viatu za
mgeni.

2.mgeni akipatwa
akiongezea maji ya
ugali. 😂😂

Loading views...


Bak in skull ukiwa Dom….
we Zima stima tulale unaskia wazimu mwngne ukilala class ulkuwa umezima stima

Loading views...


Wale mlikuwa mnasema 2020 is your financial year ebu mkujie mwaka yenu na sitafadhali 🤣🤣

Loading views...

Tumbili zikiwa tatu bado ni tumbili au ni tutatu ?
Hii kitu inanikula kichwa sana

Loading views...


Imagine tufike mbinguni halafu tupate kukula cuzo haikua Dhabi!!

Loading views...


Dactari akioa nurse wanaweza zaa mgonjwa ?

Loading views...


Wakati wowote mkia hautikisi ngo,
mbe,ng,ombe ndo hutikisa mkia

Loading views...

em wangu aliniambia ka ninataka Mapenzi nitumia number Bluutooth

Loading views...