Unaringa unadhani nitakuwaza……unashtukia nishakusahau

Loading views...



Ati nyinyi ni wengi hadi mama anapiga chapo moja alafu zingine zinawekwa photocopy

Loading views...


Kwako Kuna bed switch ama unazimanga stima then unatembea hadi kwa bed Kama kipofu

Loading views...

Titi taaa tete kumilife is short so smile
whole still hve a chance to do so

Loading views...


Hii upuzi ya unauliza dame 😂
hasubui kama ame amka anakuambia oliskia wapi kwanini why🥴

Loading views...


In every man’s life kunakuaga na dem kila mtu huassume mshakulana na hamjawai 😌
Alafu kunakuaga na dem mshakulana lakini huezi ambia watu mshaikulana 😭
Alafu kuna dem ukiambia watu mshaikulana hawaamini 🌝
Alafu kuna dem mnakulananga lakini nyinyi wote hamuezi ambia watu coz mtastopisha reggae. 😂😂😂😂😂

Loading views...

Juz kadem nilikatext kakaniuliza nimepata wapi no yake nikakaambia nimepew offer ya namba yake na safcom

Loading views...


Usisoee kunya peupe manyasini,utakuja donua na kuku akidhani wamutupia nyama na sima ya wimbi.

Loading views...


Nimepoteza uoni kwani sion tena kitu kwenye wallet

Loading views...


Bak in skull ukiwa Dom….
we Zima stima tulale unaskia wazimu mwngne ukilala class ulkuwa umezima stima

Loading views...

Back in high school, I was very poor in maths during exams nilikua napata Kati ya 4% na 10%🙈. The results used to be announced from the lowest maarks to the highest marks,, so nilikua wa kwanza ama wa pili kuitwa😑 alafu napokea viboko kadhaa 😏.
So one day the maths results were announced and my name wasn’t among the first to be called 🤜🤛…so mwalimu anaendelea 30%, 40%, 50%, 60%, 70% bado jina langu halikuitwa, kila mtu kwa class akaniangalia👀,, wanauliza “umepitaje huu mtihani?”😝,nikasmile nikasema ” Ni mungu tu” by the time alifika 80% I was already grinning in excitement. Wakati alifika 90% alikuwa amebaki na paper moja tu 😁🙌,, saa mungu amejibu maombi na ndoto yangu ya kupita maths imetimia🙏,, class mzima walishangaa na kuniangalia 👀,, finally mwalimu akaangalia juu na kusema.

“One idiot did not write his name and he scored 0%”. l just fainted 😂😂

Loading views...