Unaringa unadhani nitakuwaza……unashtukia nishakusahau
Loading views...
Unaringa unadhani nitakuwaza……unashtukia nishakusahau
Loading views...
Aahahaha ujinga n kubuy kiberitti tano n kujaribu k zote zina waka
Loading views...
Msichana mrembo lakini akinyamba
Maiti Inageuza kichwa
Loading views...
Ati nyinyi ni wengi hadi mama anapiga chapo moja alafu zingine zinawekwa photocopy
Loading views...
Kwako Kuna bed switch ama unazimanga stima then unatembea hadi kwa bed Kama kipofu
Loading views...
Titi taaa tete kumilife is short so smile
whole still hve a chance to do so
Loading views...
Hii upuzi ya unauliza dame
hasubui kama ame amka anakuambia oliskia wapi kwanini why
Loading views...
Cjai ona ugonjwa mbaya kma ujinga aina tiba Tina ni kibao
Loading views...
In every man’s life kunakuaga na dem kila mtu huassume mshakulana na hamjawai
Alafu kunakuaga na dem mshakulana lakini huezi ambia watu mshaikulana
Alafu kuna dem ukiambia watu mshaikulana hawaamini
Alafu kuna dem mnakulananga lakini nyinyi wote hamuezi ambia watu coz mtastopisha reggae.
Loading views...
Juz kadem nilikatext kakaniuliza nimepata wapi no yake nikakaambia nimepew offer ya namba yake na safcom
Loading views...
Usisoee kunya peupe manyasini,utakuja donua na kuku akidhani wamutupia nyama na sima ya wimbi.
Loading views...
Mdomo not kubwa..chapati waikunjia nini?
Loading views...
Nimepoteza uoni kwani sion tena kitu kwenye wallet
Loading views...
Kama anaringa sana usishinde ukijisumbua tuone kama atajikula
Loading views...
Bak in skull ukiwa Dom….
we Zima stima tulale unaskia wazimu mwngne ukilala class ulkuwa umezima stima
Loading views...
Back in high school, I was very poor in maths during exams nilikua napata Kati ya 4% na 10%. The results used to be announced from the lowest maarks to the highest marks,, so nilikua wa kwanza ama wa pili kuitwa
alafu napokea viboko kadhaa
.
So one day the maths results were announced and my name wasn’t among the first to be called …so mwalimu anaendelea 30%, 40%, 50%, 60%, 70% bado jina langu halikuitwa, kila mtu kwa class akaniangalia
,, wanauliza “umepitaje huu mtihani?”
,nikasmile nikasema ” Ni mungu tu” by the time alifika 80% I was already grinning in excitement. Wakati alifika 90% alikuwa amebaki na paper moja tu
,, saa mungu amejibu maombi na ndoto yangu ya kupita maths imetimia
,, class mzima walishangaa na kuniangalia
,, finally mwalimu akaangalia juu na kusema.
“One idiot did not write his name and he scored 0%”. l just fainted
Loading views...