Kati ya hizi mbili ni gani ya aibu:

1.Kupatwa
Ukijipima viatu za
mgeni.

2.mgeni akipatwa
akiongezea maji ya
ugali. 😂😂

Loading views...



Mimi natoka Murang’a….mwalimu wetu aliniuliza, wazimu ,how do you call mosquitoes in ur language? Nikasema we dont call them, they come by themselves..akaniambia sitaenda mbali na sahii nko naivasha…….. Nataka nifike eldoret nimpigie simu nimwambie niko mbali sana 😂

Loading views...

Hakika umefanyika bubujiko la nafsi yangu na kunifanya kuwa wakipekee kwako also all in all when i’m feel in love i see you my love

Loading views...

Imagine umelala afternoon bcoz the previous night ulikuwa kesha. mara unasika knock kwa mlango, ukienda kufungua unagongwa kidole ya mwisho ya mguu na kitanda, kuturn kidogo unaangukia ndoo za maji yanamwangika, unatereza kwa hayo maji unaangukia tv, na wire ya stima inakupinga shock kwa mgongo. unasimama na uchovu, maumivu, hasira na hasara. kufika kwa mlango kufungua unapatana na jamaa kwa mlango anasema, ” Habari yako? naregister lines za Orange!” utafanya? 😂😂

Loading views...


Usisoee kunya peupe manyasini,utakuja donua na kuku akidhani wamutupia nyama na sima ya wimbi.

Loading views...

Wakikuyu ni wasafi hati wawesi chafuwa meza kwa clap

Loading views...


*🤣🤣🤣 uzuri wa mtaro🥥 ni eti ukimwaga💦 ndani kwa makosa na anze kulia unaweza ingiza kikombe☕ na uchote….🤣🤣🤣

Loading views...


I hope my book of life ingeandikwa na kalamu ya mate kuna ka place nafaa kuvuta

Loading views...

To our sisters leo want to ask you this question hivi…..

“what would you do if you start arguing with your man and he starts crying”

Sisi tuko hapa to see the comments and kuchangia where we have too

Loading views...


Ukila raha andaa tumbo la kula shida
Ipo siku swala atamla simba

Loading views...


Hata uwe na haraka kiasi gani…,lazima matako itabaki nyuma

Loading views...


*After KCPE Results*

*Dad:* how’s the results

*Son:* INEOS daddy

*Dad:* whats that ??

*Son:* 159

*Dad:* whaaat??
*Son:* Kipchoge
*Dad:* You mean?
*Son:* No human is limited.

Loading views...

First they ignore you, then they laugh at you, then they fight you, then you win.- Mahatma Gandhi @wazimu mkuu

Loading views...

Kombowa wakati usilale hamka usilemahe
Ufalume wa mbinguni hupatikana kwabiddi sana usihishi bila kukosa lengo mahishani mwako

Loading views...