Jee ushawai panda ndege ama unangoja siku ya kwenda mbinguni????



Hii ngozi enye Mungu alitumia kutengenezea magoti nashuku ni same na ile alitumia kutengenezea makende.
Hizi ngozi mbili zinafanana sana…
waaah can’t spot the difference! Men

Demu:babe leo bata wap??
Boy:kwani wewe unataka tukale wap???
Demu:nataka tukale kwa hotel kubwa
Boy:acha ufala leo bata kwani uja waona kwenye banda lao wanakula πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Ma sister, imagine walking in heaven and all the kids you aborted be like:
β€œJesu nangu lo”


Do not let any one to know. Am telling u a big secret.
It is only between us okay. Ati nimeskia kama Kenya iko Africa ??ni kweli ama??🀣🀣🀣🀣


Mapenzi yanaweza kukupa stress hadi mama ako akikuuliza what is wrong. …… unaeza mjibu Mama we bado mdogo huezi elewa


Niliambiwa na mwalimu wangu wa kiswahili ya kwamba ukiona mtu na makalio kubwa ujue ni ujinga amebeba hapo soo madem tuwache maringo ukiwa umebeba haaga ,,,,,”hiyo ni ujinga umebeba”.


Corona ilifanya poa ku kam 2020.
Ingekam kitu 2006..
Tungekaa tu indoors na nokia 1110..tukicheza game ya manyoka..hakuna selfles ata


Katika maisha yako kuna kupuliza iwake na kupuliza ipoe…
Lkn wengi wetu wanapokuwa wakipuliza ipoe wanajikuta wameiwasha….

Kuna dem aliniita home kwake akasema anataka nyama kwa nyama. Nikamwambia cna doo labda ugali kwa mayai. Bado ajatext back ni kama akona alargy ya mayai. Ebu nipe advice