em wangu aliniambia ka ninataka Mapenzi nitumia number Bluutooth

Loading views...



Aki wallahi lazima 2021 time watu wacheck before tuingie sisi ,Ile dissapointment nimepata 2020 siwezi dhubutu kuingia nayo 2021😏😏😏

Loading views...

To my future kids,Mimi Niko tayari kuwaleta duniani lakini baba yenu anangangania warembo uko inje 🤣🤣
Msinilaumu nikiwaambia tulivaa vikapu Kama ngombe mwaka mzima😭

Loading views...


Kama huna pesa punguza kitambi we are tired of respecting wrong people

Loading views...


Wasee wasee kwenu watu ni wengi hadi ikifika saa ya chakula unaitwa na Register

Loading views...


Tajiri Au Masikini Wote Tuna Masaa 24⏲️Kila Siku..

Chagua Vizuri Jinsi Ya Kutumia Muda Wako…✍🏼

Loading views...

Babangu ameniita akaniuliza mjulus ni nini nikamwambia ni kijana, Sasa anashinda akiniita mjulus yangu

Loading views...


Cjai ona ugonjwa mbaya kma ujinga aina tiba Tina ni kibao

Loading views...


Hanna kitu kibay kam kusengenyana na mamb mazuri ni kama urafiki

Loading views...

Oyaa oyaa m uneza niita kwako ama mbogi ya xhivakala

Loading views...


Endelea kiwaita sleepover ile siku dem atakufia kwako sijui utafanya aje!

Loading views...

Why fire kempinski staff for doing it we all do it, the riskier the place the better. They didn’t tell cameras to watch..

Loading views...

Unakumbuka pale nursery ukibeba book moja na one bob kwa pocket,,history repeats itself 😂😂😂😂campus life

Loading views...