MIMI KAMA SIMU YAKO
Nataka uniheshimu.Sipendi ukiniweka kila saa kwa vibrate mode,alafu usiniweke kwa mfuko wako wa nyuma…ukinyamba wataka nifeel aje? Alafu ukiamka asubuhi plz brush mdomo kabla unitumie…wewe huwaga unanuka mdomo ni vile sitaki kukuambia! Then kuna ile siku uliniweka credit bamba 5 hio siku uliniudhi! Huoni ni aibu hio lakini nikanyamaza tu..Saa zingine we huenda na mimi chooni! Hio ni heshima kweli?

Loading views...



Kwako Kuna bed switch ama unazimanga stima then unatembea hadi kwa bed Kama kipofu

Loading views...

Aki wallahi lazima 2021 time watu wacheck before tuingie sisi ,Ile dissapointment nimepata 2020 siwezi dhubutu kuingia nayo 2021😏😏😏

Loading views...

Msichana mrembo lakini akinyamba
Maiti Inageuza kichwa🤣🤣🤣🤣🤣

Loading views...


Fuck maze, ile time umejipata maudenki zimekukaza then kufika kwa choo unapata kuna ninja ili kunia juu bt kulingana navile umekazwa inabidi uingine,,, then ukiwa ndani kimsee kinakam afu kinaamua kungoja utoke… Coz hauwezi taka aone hio shonde asikushuku ww unamua kutumia gazeti yako kupanguza hio shonde we unabaki hivyo

Loading views...


Ile day utaenda chemist 💊kubuy Mara moja upate nni mzungu cjui utamwambia aje🚮😭😭

Loading views...


Sijai sikia mganga anatibu nguvu za kike kwani wanawake wote mko sawa

Loading views...

Niliambia caro nataka mtoto akanijibu uterus haiendi mahali nitafute pesa kwanza

Loading views...


Kama Adam na Eva walikula 🍎 apple kishe nimagum hivi je wangukula pilipili kichaaaa?

Loading views...


Kama anaringa sana usishinde ukijisumbua tuone kama atajikula😜😛😛😜

Loading views...


Hii ngozi enye Mungu alitumia kutengenezea magoti nashuku ni same na ile alitumia kutengenezea makende.
Hizi ngozi mbili zinafanana sana…
waaah can’t spot the difference! Men

Loading views...

To my future kids,Mimi Niko tayari kuwaleta duniani lakini baba yenu anangangania warembo uko inje 🤣🤣
Msinilaumu nikiwaambia tulivaa vikapu Kama ngombe mwaka mzima😭

Loading views...

Wakikuyu ni wasafi hati wawesi chafuwa meza kwa clap

Loading views...