Unataka kucheza n ingali umesimama Aaaaah inama inama

Loading views...



Dame : konda hii belt haiingii

Konda : paka mate iteleze 🤣🤣🤣

Loading views...


Imagine tufike mbinguni halafu tupate kukula cuzo haikua Dhabi!!

Loading views...

Kumbe Tumbo ndo inanyamba Matako ni Speaker tu 😂😂

Loading views...


Ati wakaba wana peda maji adi wakiabiwa
i love you wanasema water suprise

Loading views...


Lakini si mtu akibuy laini ya Airtel anafaa kupewa na jacket ya kuprevent baridi wakati anatafuta network

Loading views...

Kombowa wakati usilale hamka usilemahe
Ufalume wa mbinguni hupatikana kwabiddi sana usihishi bila kukosa lengo mahishani mwako

Loading views...

To my future kids,Mimi Niko tayari kuwaleta duniani lakini baba yenu anangangania warembo uko inje 🤣🤣
Msinilaumu nikiwaambia tulivaa vikapu Kama ngombe mwaka mzima😭

Loading views...


Fuck maze, ile time umejipata maudenki zimekukaza then kufika kwa choo unapata kuna ninja ili kunia juu bt kulingana navile umekazwa inabidi uingine,,, then ukiwa ndani kimsee kinakam afu kinaamua kungoja utoke… Coz hauwezi taka aone hio shonde asikushuku ww unamua kutumia gazeti yako kupanguza hio shonde we unabaki hivyo

Loading views...


Mato niki refu kuliko mutura ya soko mjinga itabidi apuguzwe na rungu ya masaai

Loading views...

mtoto aliagizwa hela ya mlinzi na mwalimu akaenda kumweleza baba ake, baba akamjibu kamweleze mwalimu yesu ndio mlinzi mkuu aache wizi……😂😂😆😆😆🤣🤣

Loading views...


Kupenda usipende sanaaaa chukulia umempenda sana mwanamke halafu anakuwekea limbwata unafikiri utakuwa kwenye hali gani

Loading views...

Sis:I was at UKZN n thy said thy are still pending, what do thy mean ??😯😑

Me: sisi thy mean bayapenda

Loading views...

Dactari akioa nurse wanaweza zaa mgonjwa ?

Loading views...