Kuna mtu huku ndani hananga kazi.. Yeye hushinda kuitisha pics za watu then ako zile za… Wow, nice, cute, sexy. . 😂
Loading views...
Kuna mtu huku ndani hananga kazi.. Yeye hushinda kuitisha pics za watu then ako zile za… Wow, nice, cute, sexy. . 😂
Loading views...
Katika maisha yako kuna kupuliza iwake na kupuliza ipoe…
Lkn wengi wetu wanapokuwa wakipuliza ipoe wanajikuta wameiwasha….
Loading views...
Ati nyinyi ni wengi hadi mama anapiga chapo moja alafu zingine zinawekwa photocopy
Loading views...
Corona ilifanya poa ku kam 2020.
Ingekam kitu 2006..
Tungekaa tu indoors na nokia 1110..tukicheza game ya manyoka..hakuna selfles ata
Loading views...
Ata ukiskia hawa watoto wa shule wamewekwa mimba sijui ngapi ,hii kitu Kuna mahali inafikanga inakosa break
Loading views...
Madem wa siku izi wamekuwa kaa karao.mnakutana tao then next week uko ndani🤣😂🤣if you know you know
Loading views...
Mimi natoka Murang’a….mwalimu wetu aliniuliza, wazimu ,how do you call mosquitoes in ur language? Nikasema we dont call them, they come by themselves..akaniambia sitaenda mbali na sahii nko naivasha…….. Nataka nifike eldoret nimpigie simu nimwambie niko mbali sana 😂
Loading views...
Wasee wasee kwenu watu ni wengi hadi ikifika saa ya chakula unaitwa na Register
Loading views...
Kwako Kuna bed switch ama unazimanga stima then unatembea hadi kwa bed Kama kipofu
Loading views...
……… ….. Maslay queen…..wanaoganga qweli juu hawapendi kugusa maji…..
Loading views...
Wasee wasee kwenyu nyinyi n wengi hadi mumepewa title
Loading views...
Na hats uwe unapenda vipi
Kumenya viungo vya mboga
Lakini huwezi kumenya pilipili
au bamia”
Loading views...
Unaringa unadhani nitakuwaza……unashtukia nishakusahau
Loading views...
Zamani wasichana walipika kama mama zao
lakini saivi wanakunywa kama baba zao
Loading views...
Kujulikana na mother in-law
Si kuolewa,, ulizeni ex wangu😂😂😂😂
Loading views...
Demu:babe leo bata wap??
Boy:kwani wewe unataka tukale wap???
Demu:nataka tukale kwa hotel kubwa
Boy:acha ufala leo bata kwani uja waona kwenye banda lao wanakula 😂😂😂😂😂
Loading views...