em wangu aliniambia ka ninataka Mapenzi nitumia number Bluutooth

Loading views...



Mimi natoka Murang’a….mwalimu wetu aliniuliza, wazimu ,how do you call mosquitoes in ur language? Nikasema we dont call them, they come by themselves..akaniambia sitaenda mbali na sahii nko naivasha…….. Nataka nifike eldoret nimpigie simu nimwambie niko mbali sana 😂

Loading views...

Form fours are like posting *”stress is over”*😂tuwaambie ukweli ama tuwaache wapumzike😂

Loading views...

Unataka kucheza n ingali umesimama Aaaaah inama inama

Loading views...


Lakini si mtu akibuy laini ya Airtel anafaa kupewa na jacket ya kuprevent baridi wakati anatafuta network

Loading views...


Nakumbuka Chemistry paper 1 kulikuwa na hii swali “State 3 characteristics of bromine” Sasa mimi na ujinga yangu nikaandika characteristics za Bro wa mine😁

Loading views...


To our sisters leo want to ask you this question hivi…..

“what would you do if you start arguing with your man and he starts crying”

Sisi tuko hapa to see the comments and kuchangia where we have too😂😂😂

Loading views...

Titi taaa tete kumilife is short so smile
whole still hve a chance to do so

Loading views...


Tumbili zikiwa tatu bado ni tumbili au ni tutatu ?
Hii kitu inanikula kichwa sana

Loading views...


Zamani wasichana walipika kama mama zao
lakini saivi wanakunywa kama baba zao

Loading views...

Kama huna pesa punguza kitambi we are tired of respecting wrong people

Loading views...


*Girl;* babe leo hakuna magari nalala kwa beshte yangu nikam kesho🙂

*boy;* poa hun, hata monica beshte yako ako hapa akuna gari anadoz akungoje ukam kesho🤓
*Girl;* 😳bby kuna gari nimeona hapa ya takataka acha nione ka itanibeba

😆😆😅😅😂😂🤣🤣🤣🤣🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽

Loading views...

Hii Nairobi kama hujaact setbooks
Haujajaribu online jobs za global alliance (kwanza hii)😂
Haujaenda mjengo😌
Haujafanya promotion ya nodules ama simu😩😫

Halafu kuna ile walk ya kiadvatise pizza na kuku 😅😂
My friend hakuna kitu utaniambia kuhusu kuhustle😂

Loading views...

Huku afrika ukitaka breakfast in bed,pls kalale jikoni🙃🙃 by Carlos ochieng agunda

Loading views...