karibu kenya place unabuy maziwa imelala 35 while fresh 20 bob

Loading views...



Pain ya go nyesa ke mjolo kwa yeno o na le gate ya maotwana

Loading views...


Ati dem wako anaforce issue kaa msee wa curfew😂😂😂

Loading views...


Mimi natoka Murang’a….mwalimu wetu aliniuliza, wazimu ,how do you call mosquitoes in ur language? Nikasema we dont call them, they come by themselves..akaniambia sitaenda mbali na sahii nko naivasha…….. Nataka nifike eldoret nimpigie simu nimwambie niko mbali sana 😂

Loading views...


Dame:beb Plic nbuyie redo ya mbao.

Boy:tumiaga hiyo ya chuma kabla walete ya mbao,

Loading views...

Eti ukiambia dem mkamba anadai umletee surprise gani anakushw umletee maji

Loading views...


Ety demu kwakwmbia uwende kwao kwakuwa mama yake ayupo,
kumbe nao ni ushezi

Loading views...


Oyaa oyaa m uneza niita kwako ama mbogi ya xhivakala

Loading views...


Si kampuni ya makeup i strike ndo tujue Wanaume niwangapi hii Kenya

Loading views...

Unapoondoka duka bila kununua chochote na unajiambia
“tenda kawaida, huna hatia”

Loading views...

Unaninyamazia unafikiria ntakumiss unashtuka nilikusahau 😂😂😂💔💔

Loading views...