Ushawai kuwa single for so long Hadi
unashangaa kwani ribs yako moja ilitumika kupika supu ama Nini🤣

Loading views...



Kuna dem ameniuliza WHERE DID WE FIRST MEET??
Sijui nimkumbushe ile day chali yake aliniomba keja juu mm nilikuwa yule msee nilikuwa nafua hapo nje

Loading views...

*Kuna cousin yangu amepata 50 out of 500. KCPE. Tunangojea alale tuhame.* Sa hii tuko maombi kwao.
Huyu amaweka family kwa kizungumkuti.

Loading views...

Mtu mmoja amekimbia paka sikio lake ameguza chini

Loading views...


penda anae kupenda asiye kupenda achana nae

Loading views...


Unaninyamazia unafikiria ntakumiss unashtuka nilikusahau 😂😂😂💔💔

Loading views...

Ushawahi potea njia unajipata kwa boma kwa MTU,
inabidi uombe maji ya kunywa…

Loading views...

Wale mlikuwa mnasema 2020 is your financial year ebu mkujie mwaka yenu na sitafadhali 🤣🤣

Loading views...


nimeiba kipimo cha mimba hosiptli nkajuwa ni flashi
🤣🤣🤣🤣🤣

Loading views...


In your last relationship, ulikuwa impeached, ulistep down ama uliangushwa na external forces?

Loading views...

First they ignore you, then they laugh at you, then they fight you, then you win.- Mahatma Gandhi @wazimu mkuu

Loading views...


Yanga yeti inapiga moja moja kama mgonjwa wa kisukali asanteni simba kwa kurejedha heshima ya wanaume

Loading views...

Huku afrika ukitaka breakfast in bed,pls kalale jikoni🙃🙃 by Carlos ochieng agunda

Loading views...