Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚



To my future kids,Mimi Niko tayari kuwaleta duniani lakini baba yenu anangangania warembo uko inje 🀣🀣
Msinilaumu nikiwaambia tulivaa vikapu Kama ngombe mwaka mzima😭

Niliambiwa na mwalimu wangu wa kiswahili ya kwamba ukiona mtu na makalio kubwa ujue ni ujinga amebeba hapo soo madem tuwache maringo ukiwa umebeba haaga ,,,,,”hiyo ni ujinga umebeba”.

Kuna dem ameniuliza WHERE DID WE FIRST MEET??
Sijui nimkumbushe ile day chali yake aliniomba keja juu mm nilikuwa yule msee nilikuwa nafua hapo nje


Ile time dryspell zimeku zidy afu mnakuaga na mboch mokorino πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

When she’s hot as fuck but flopo eore a nkga legano πŸ˜’πŸ˜’ you’ll end up saying things like β€œetlwa colgate ye enale swikiri ye nchi bjang”.. before you kiss her


Dame : konda hii belt haiingii

Konda : paka mate iteleze 🀣🀣🀣


Unakumbuka ukianza insha na….
Katika Kijiji kimoja paliondokea mtu mmoja masikini hoehae…

Ona sahii we ndio huyo masikiniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*What goes around comes around😏

Back in high school, I was very poor in maths during exams nilikua napata Kati ya 4% na 10%πŸ™ˆ. The results used to be announced from the lowest maarks to the highest marks,, so nilikua wa kwanza ama wa pili kuitwaπŸ˜‘ alafu napokea viboko kadhaa 😏.
So one day the maths results were announced and my name wasn’t among the first to be called πŸ€œπŸ€›β€¦so mwalimu anaendelea 30%, 40%, 50%, 60%, 70% bado jina langu halikuitwa, kila mtu kwa class akaniangaliaπŸ‘€,, wanauliza β€œumepitaje huu mtihani?β€πŸ˜,nikasmile nikasema ” Ni mungu tu” by the time alifika 80% I was already grinning in excitement. Wakati alifika 90% alikuwa amebaki na paper moja tu πŸ˜πŸ™Œ,, saa mungu amejibu maombi na ndoto yangu ya kupita maths imetimiaπŸ™,, class mzima walishangaa na kuniangalia πŸ‘€,, finally mwalimu akaangalia juu na kusema.

β€œOne idiot did not write his name and he scored 0%”. l just fainted πŸ˜‚πŸ˜‚


Hanna kitu kibay kam kusengenyana na mamb mazuri ni kama urafiki


Kombowa wakati usilale hamka usilemahe
Ufalume wa mbinguni hupatikana kwabiddi sana usihishi bila kukosa lengo mahishani mwako

Kwa nini ulikubali myanyako aolewe na babu yako .naunajua wote ni wazee.umestakia kuruhusu hawa watu wawili hapa kituo cha.jongo love. Kesho kabla ya kikwara wa kwanza kupiga mswaki.kama hutakuja utatembelewa na baby wa ma Baby. Olewako sina huruma na hii kesi.Hello statu up you nau don’t giverup.

Lakini sikumuacha kwa ubaya ata wewe unaeza date dem anaita njaa maunenge πŸ˜‚πŸ˜‚