Kopo la chooni ni la chooni tu,hata liwe jipya haliekwi kabatini.
Loading views...
Kopo la chooni ni la chooni tu,hata liwe jipya haliekwi kabatini.
Loading views...
Opening of schools before bars shows government respects children more than the elderly🙉 wakati wa kura watafute hao watoto wawapigie🤪 hatupendi ujinga
Loading views...
Unapoondoka duka bila kununua chochote na unajiambia
“tenda kawaida, huna hatia”
Loading views...
Pesa kidogo tu ukiongea unasema I mean si useme tu unamaanisha tutakuelewa mabaharia
Loading views...
Kombowa wakati usilale hamka usilemahe
Ufalume wa mbinguni hupatikana kwabiddi sana usihishi bila kukosa lengo mahishani mwako
Loading views...
Ati wakaba wana peda maji adi wakiabiwa
i love you wanasema water suprise
Loading views...
Mimi natoka Murang’a….mwalimu wetu aliniuliza, wazimu ,how do you call mosquitoes in ur language? Nikasema we dont call them, they come by themselves..akaniambia sitaenda mbali na sahii nko naivasha…….. Nataka nifike eldoret nimpigie simu nimwambie niko mbali sana 😂
Loading views...
Wasee wasee kwenyu nyinyi n wengi hadi mumepewa title
Loading views...
Zamani watu wenye pesa nyingi ndo walikuwa wanatafuta wanawake wazuri, but now days wanawake ndo wanatafuta watu wenye pesa…
Maisha yanabadilika?
Lakini huwezi kuamini kuwa fikra zao zote zinaamini kuwa “pesa” ndo kila ki2…..? @
Napenda kuwakumbusa kuwa si kweli hata kidogo Amini kuna vitu “pesa” haiwezi nunua mfano
“Upendo” Tabia na mengine mengi
M/mungu ndie kila ki2 kwe2 hata ukatae ukubalii ndo hvyoo…
Msipofikilia vzr mtapata tabu xnaa
Loading views...
Zamani wasichana walipika kama mama zao
lakini saivi wanakunywa kama baba zao
Loading views...
Umezoea Kukula mogoka hadi unaogopa kumeza mboga
Loading views...
Unakumbuka pale nursery ukibeba book moja na one bob kwa pocket,,history repeats itself 😂😂😂😂campus life
Loading views...
Unalia nkikataa kupic call yako na umepiga mara moja tu,
ni mara ngapi yesu amekuita na ukakataa.?
Loading views...
Ushawai kuwa single for so long Hadi
unashangaa kwani ribs yako moja ilitumika kupika supu ama Nini🤣
Loading views...
Nimepoteza uoni kwani sion tena kitu kwenye wallet
Loading views...
Kua smart bro kupeleka dame si wako out then unamdrop kwao ni Kama kuweka token kwa meter ya lodging bro
Loading views...