Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!
πππππππππ
To my future kids,Mimi Niko tayari kuwaleta duniani lakini baba yenu anangangania warembo uko inje π€£π€£
Msinilaumu nikiwaambia tulivaa vikapu Kama ngombe mwaka mzimaπ
Niliambiwa na mwalimu wangu wa kiswahili ya kwamba ukiona mtu na makalio kubwa ujue ni ujinga amebeba hapo soo madem tuwache maringo ukiwa umebeba haaga ,,,,,βhiyo ni ujinga umebebaβ.
Kuna dem ameniuliza WHERE DID WE FIRST MEET??
Sijui nimkumbushe ile day chali yake aliniomba keja juu mm nilikuwa yule msee nilikuwa nafua hapo nje
Ile time dryspell zimeku zidy afu mnakuaga na mboch mokorino ππππππππ
When sheβs hot as fuck but flopo eore a nkga legano ππ youβll end up saying things like βetlwa colgate ye enale swikiri ye nchi bjangβ.. before you kiss her
Dame : konda hii belt haiingii
Konda : paka mate iteleze π€£π€£π€£
Imagine tufike mbinguni halafu tupate kukula cuzo haikua Dhabi!!
Unakumbuka ukianza insha naβ¦.
Katika Kijiji kimoja paliondokea mtu mmoja masikini hoehaeβ¦
Ona sahii we ndio huyo masikiniπππ
*What goes around comes aroundπ
Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika
Back in high school, I was very poor in maths during exams nilikua napata Kati ya 4% na 10%π. The results used to be announced from the lowest maarks to the highest marks,, so nilikua wa kwanza ama wa pili kuitwaπ alafu napokea viboko kadhaa π.
So one day the maths results were announced and my name wasnβt among the first to be called π€π€β¦so mwalimu anaendelea 30%, 40%, 50%, 60%, 70% bado jina langu halikuitwa, kila mtu kwa class akaniangaliaπ,, wanauliza βumepitaje huu mtihani?βπ,nikasmile nikasema β Ni mungu tuβ by the time alifika 80% I was already grinning in excitement. Wakati alifika 90% alikuwa amebaki na paper moja tu ππ,, saa mungu amejibu maombi na ndoto yangu ya kupita maths imetimiaπ,, class mzima walishangaa na kuniangalia π,, finally mwalimu akaangalia juu na kusema.
βOne idiot did not write his name and he scored 0%β. l just fainted ππ
Ile time ume nyandua fame na ngori ya kidogii afu utabike after a few minutes unaskiaga fame aki shuta na nyap
π
Hanna kitu kibay kam kusengenyana na mamb mazuri ni kama urafiki
Kombowa wakati usilale hamka usilemahe
Ufalume wa mbinguni hupatikana kwabiddi sana usihishi bila kukosa lengo mahishani mwako
Kwa nini ulikubali myanyako aolewe na babu yako .naunajua wote ni wazee.umestakia kuruhusu hawa watu wawili hapa kituo cha.jongo love. Kesho kabla ya kikwara wa kwanza kupiga mswaki.kama hutakuja utatembelewa na baby wa ma Baby. Olewako sina huruma na hii kesi.Hello statu up you nau donβt giverup.
Lakini sikumuacha kwa ubaya ata wewe unaeza date dem anaita njaa maunenge ππ