Ety demu kwakwmbia uwende kwao kwakuwa mama yake ayupo,
kumbe nao ni ushezi

Loading views...



Katika maisha yako kuna kupuliza iwake na kupuliza ipoe…
Lkn wengi wetu wanapokuwa wakipuliza ipoe wanajikuta wameiwasha….

Loading views...

Pesa kidogo tu ukiongea unasema I mean si useme tu unamaanisha tutakuelewa mabaharia

Loading views...

Niliambiwa na mwalimu wangu wa kiswahili ya kwamba ukiona mtu na makalio kubwa ujue ni ujinga amebeba hapo soo madem tuwache maringo ukiwa umebeba haaga ,,,,,”hiyo ni ujinga umebeba”.

Loading views...


Madem wa siku izi wamekuwa kaa karao.mnakutana tao then next week uko ndani🤣😂🤣if you know you know

Loading views...

Nakumbuka Chemistry paper 1 kulikuwa na hii swali “State 3 characteristics of bromine” Sasa mimi na ujinga yangu nikaandika characteristics za Bro wa mine😁

Loading views...


*🤣🤣🤣 uzuri wa mtaro🥥 ni eti ukimwaga💦 ndani kwa makosa na anze kulia unaweza ingiza kikombe☕ na uchote….🤣🤣🤣

Loading views...


Lakini si mtu akibuy laini ya Airtel anafaa kupewa na jacket ya kuprevent baridi wakati anatafuta network

Loading views...

Ukimkuta dada amevaa miwani anakuwa na dharau sana anasahau kuwa kilichomfanya avae iyo miwani ni ugonjwa
😀😀😀🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️

Loading views...


Hakika umefanyika bubujiko la nafsi yangu na kunifanya kuwa wakipekee kwako also all in all when i’m feel in love i see you my love

Loading views...


Dame:beb Plic nbuyie redo ya mbao.

Boy:tumiaga hiyo ya chuma kabla walete ya mbao,

Loading views...

Unakumbuka ukianza insha na….
Katika Kijiji kimoja paliondokea mtu mmoja masikini hoehae…

Ona sahii we ndio huyo masikini😂😂😂
*What goes around comes around😏

Loading views...


Kati ya hizi mbili ni gani ya aibu:

1.Kupatwa
Ukijipima viatu za
mgeni.

2.mgeni akipatwa
akiongezea maji ya
ugali. 😂😂

Loading views...

Opening of schools before bars shows government respects children more than the elderly🙉 wakati wa kura watafute hao watoto wawapigie🤪 hatupendi ujinga

Loading views...