Niliambiwa na mwalimu wangu wa kiswahili ya kwamba ukiona mtu na makalio kubwa ujue ni ujinga amebeba hapo soo madem tuwache maringo ukiwa umebeba haaga ,,,,,”hiyo ni ujinga umebeba”.
Related Posts
Mzee alikuwa anaomba Mungu kwa bedroom na kiingereza “Thank you for Mercy, Thank you for Joy, Thank you for Grace, Continue Reading..
Aki wallahi lazima 2021 time watu wacheck before tuingie sisi ,Ile dissapointment nimepata 2020 siwezi dhubutu kuingia nayo 2021😏😏😏
My future wife si uje ama nifungue butchery na hizi ngombe za dowry
Demu:babe leo bata wap?? Boy:kwani wewe unataka tukale wap??? Demu:nataka tukale kwa hotel kubwa Boy:acha ufala leo bata kwani uja Continue Reading..
Kujulikana na mother in-law Si kuolewa,, ulizeni ex wangu😂😂😂😂
Madem wengi kasi ya n ya kufilter picha wapost kwa status na hawakumbuki lika yao inaelekeakumalisha ulezi
Mnakumbuka lucky dube akiimba there will be no schools anymore only prison prison mkadhani ni bangi
Kama Adam na Eva walikula 🍎 apple kishe nimagum hivi je wangukula pilipili kichaaaa?